comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
MAPITO HAYA NI MAGUMU, TUWAOMBEE Pamoja na kwamba siwapendi Chadema lakini haya waliyokutana nayo katika ziara yao mpaka wakaamu kuikatiza njian kwa madai ya kuishiwa mafuta ni mambo magumu mno, tuwaombee wapate kukubalika walau kidogo ili katika chaguzi zijazo wapate hata 10%