CHADEMA mchukueni Luhaga Mpina haraka

CHADEMA mchukueni Luhaga Mpina haraka

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Luhaga Mpina ni mtu nondo kweli.
Ni mbunge mjenga hoja na mwana mapinduzi kweli kweli

Hata alivokuwa waziri wa uvuvi na mifugo alikuwa Nondo na alifanya vyema kuzidi huyu wa Sasa.
Alikomesha uvuvi haramu, alikomesha uharamia ziwa Victoria ambapo wavuvi walikuwa sana na kuibiwa engine za boat ⛵ zao.

Ni mtu muadilifu, mstaarabu, mzalendo na mjenga hoja la kweli.

Katika bunge la Chama kimoja amekuwa mpinzani na kuwa challenge wabunge wenzake wote wa CCM.
Amekuwa sio mtu wa kuendesha kama wabunge wengine.

Kwa maarifa yake huko CCM atapigwa vita mno na atavuluwa uanachama wake, maana CCM hawapendi watu waelewa.

Luhaga Mpina ananikumbusha Kijana Deo Filikunjombe
 
Luhaga Mpina ni mtu nondo kweli.
Ni mbunge mjenga hoja na mwana mapinduzi kweli kweli

Hata alivokuwa waziri wa uvuvi na mifugo alikuwa Nondo na alifanya vyema kuzidi huyu wa Sasa.
Alikomesha uvuvi haramu, alikomesha uharamia ziwa Victoria ambapo wavuvi walikuwa sana na kuibiwa engine za boat ⛵ zao.

Ni mtu muadilifu, mstaarabu, mzalendo na mjenga hoja la kweli.

Katika bunge la Chama kimoja amekuwa mpinzani na kuwa challenge wabunge wenzake wote wa CCM.
Amekuwa sio mtu wa kuendesha kama wabunge wengine.

Kwa maarifa yake huko CCM atapigwa vita mno na atavuluwa uanachama wake, maana CCM hawapendi watu waelewa.

Luhaga Mpina ananikumbusha Kijana Deo Filikunjombe
hawezi kuja maana hakuna ulaji....pamoja na kuonekana mzalendo, lkn atakula wapi? Ila wakimtema maoni ya kura za ubunge CCM, basi aje chadema
 
Upinzani wa kwel na uzalendo wa kweli unatoka moyoni , wanapambana na chama cha siasa bila kujua hata bila chadema wanaweza kuangukia pua .
 
Back
Top Bottom