CHADEMA mkiishamaliza makongamano ya Katiba Mpya nchi nzima, mtafanyeje?

CHADEMA mkiishamaliza makongamano ya Katiba Mpya nchi nzima, mtafanyeje?

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Sasa hivi naona mnaelekea kumaliza nchi nzima kwa makongamano ya katiba mpya!

Lakini sioni kama kuna tija yoyote mlipoishapita pote wala wananchi hawana Habari na katiba mpya,

Mnafanya tu vituko mara mwende uwanjani na blauzi za katiba mpya, mara muingie kanisani na blauzi za katiba mpya,

Sasa nawauliza mkiishamaliza kuzunguka nchi nzima kutumbua pesa mnazochangisha watu kwa mgongo wa kutafuta katiba mpya nini kitafata

Hii nchi haiwezi kupata katiba mpya bila wananchi wenyewe kwa umoja wao kuamua, na ndo kwanza wananchi hawana hata habari na hayo mambo!

Nyie endeleeni kupiga pesa za watu
 
Hakuna kitu kikubwa na cha thamani katika Taifa lolote kama elimu ya Uraia, CDM kwa miaka karibia 20 wamekuwa wakitoa elimu kubwa sana ya Uraia kwa nchi yao tena bure. Leo hii watanzania wanaelewa mambo mengi yanayowazunguka likiwemo hili la kuwa na Katiba ambayo imetokana na wao wenyewe na si hii ya sasa ambayo ilitungwa na watu 3 wakijifungia chumbani.

Bravo CDM, endeleeni kutoa elimu ya uraia kwa watanzania na Muumba atawalipa, tunajua mnafanya hivi katika mazingira magumu ila matunda yanaonekana, BAVICHA, BAWACHA hongereni mno mno - Moto chini.
 
Sasa hivi naona mnaelekea kumaliza nchi nzima kwa makongamano ya katiba mpya!

Lakini sioni kama kuna tija yoyote mlipoishapita pote wala wananchi hawana Habari na katiba mpya...
Unataka uoneshwe ramani ya vita?
 
Sasa hivi naona mnaelekea kumaliza nchi nzima kwa makongamano ya katiba mpya!

Lakini sioni kama kuna tija yoyote mlipoishapita pote wala wananchi hawana Habari na katiba mpya,

Mnafanya tu vituko mara mwende uwanjani na blauzi za katiba mpya, mara muingie kanisani na blauzi za katiba mpya,

Sasa nawauliza mkiishamaliza kuzunguka nchi nzima kutumbua pesa mnazochangisha watu kwa mgongo wa kutafuta katiba mpya nini kitafata

Hii nchi haiwezi kupata katiba mpya bila wananchi wenyewe kwa umoja wao kuamua, na ndo kwanza wananchi hawana hata habari na hayo mambo!

Nyie endeleeni kupiga pesa za watu
Make hapo kwanza ncheke
 
Sikujua kama kuna watu wazima hawajui umuhimu wa katiba!!
Bado tunasafari ndefu sana! Huyu jamaa wa hii post sidhani kama ni mzima!!
 
Back
Top Bottom