Mleta Ni like Chadema time la siku nyingi nalijua hili .Mada zake nyingi Ni za kusifia Chadema sio chama kingine kiwe CCM au chochote
CCM ipi unayoitaja ile Mliyokuwa mnaiita ya Mafisad ambao wote Wapo Chadema ambacho kwasasa kinaitwa Chama cha Kulinda Waharifu (Waliowataja Wenyewe)Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Kwa hiyo unateseka?Mleta Ni like Chadema time la siku nyingi nalijua hili .Mada zake nyingi Ni za kusifia Chadema sio chama kingine kiwe CCM au chochote
Ndio akili za vijana wetu, nakuambia nimejiunga mwaka mmoja tokea CCM izaliwe yaani 1978 tena nikiwa JKT na kulikuwa na hekaheka za vita kule Kagera.Mleta Ni like Chadema time la siku nyingi nalijua hili .Mada zake nyingi Ni za kusifia Chadema sio chama kingine kiwe CCM au chochote
Mleta Ni like Chadema time la siku nyingi nalijua hili .Mada zake nyingi Ni za kusifia Chadema sio chama kingine kiwe CCM au chochote
for presidency ni sawa na si for president
AminaMimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Usiwe na hofu kamanda Lissu anasimama.Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Kama ulijiunga CCM mwaka 1978, unakwenda Chadema kutafuta nini? Mbona huko Chadema kwenyewe kuna waongo, wazandiki, wambea waliompakazia Mzee Kinana kwamba anafanya biashara ya meno ya Tembo wakati si kweli? Au unataka kwenda kuwadukua tu halafu urudi CCM?Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Mkuu siasa zimekupelekea hadi uandike kitu cha ajabu namna hii?!!Yaani tumekosa watz wa kuwapa kuongoza nchi mpaka tumpe mlemavu
Ndugu yangu, kwa heshima ya mzee mwenzangu Kinana acha nisiseme mengi. Lakini ukae ukijua sio kila kitu kinachoamuliwa mahakamani ndio ukweli wenyewe, wakati mwingine kukosekana Solid evidence kunasababisha maamuzi tengeKama ulijiunga CCM mwaka 1978, unakwenda Chadema kutafuta nini? Mbona huko Chadema kwenyewe kuna waongo, wazandiki, wambea waliompakazia Mzee Kinana kwamba anafanya biashara ya meno ya Tembo wakati si kweli? Au unataka kwenda kuwadukua tu halafu urudi CCM?
Vipi huko chadema viongozi wadogo wananemekaje?Umestaarabika ndugu. Mie niliondoka CCM baada ya kuona dalili za mambo ya ajabu mwaka 2017.
Nilijipa muda wa kuwasoma vizuri na nikajiridhisha kuwa chini ya sera za kijamaa kamwe hatuwezi pata maendeleo ya kweli ya watu na vitu. Ni ulaghai tu huku viongozi wakuu ndo wakinineemisha
Hakuna wa kumlinganisha na Dr slaa hapo chadema kwa Sasa, alisimamia ukweli aliouamini na misingi ya chama hadi pale wenzake wote walipomsaliti kwasababu ya matumbo yaoSera za Chadema in nzuri na pengine zinazidi za ccm. Hilo hata marehemu baba wa Taifa aliliona na kulitambua.
Tatizo lao walikuwa hawajapata MTU sahihi.
Walijidanganya kuwa Dr Slaa alikuwa mtu makini lakini ukweli yule hakuwa kama walivyo kuwa wanamdhania, mtu yeyote anayeiacha huduma ya kanisa au msikiti na kuja siasani ni wa kumuangalia mara mbili utajuwa tuu ni mpenda ya dunia na sio mkweli.
Kwa Lowassa ndio usiseme kabisa, it was a big mistake. Lakini Lissu nadhani anamuacha mbali sana mgombea wetu wa CCM.