Mkuu noana mgombea wa chama Chako cha zamani amebaki kutukana njia nzima kama mlevi wa gongoNikiangalia mwenendo wa kampeni unavyo endelea kwa kweli sijutii maamuzi yangu.
Kwanza nafurahishwa na jinsi Lissu anavyo mwaga Sera kwa ukweli na hadhi ya Presidential person tofauti na mgombea wa chama changu cha zamani asiyejua hata anataka kusema nini zaidi ya kuji contradict tuu.
Nimeshuhudia wanaccm wengi sana ninaofahamiana nao wakiwa wane KATA SHAURI KUACHANA NA DHAMBI YA CCM
Anadhani ni ID fake kama walizotumwa na akina Makonda na Akina Gambo za kuanzia 2017Huyo member Ni mkongwe since 2008
Umechina Memba yuko humu toka long. Hizi sio Id fake mlizotumwa matagaSalary Slip naona umekuja kivingine.
Hata wao wanajua wanakaza shingo tuSera za Chadema in nzuri na pengine zinazidi za ccm. Hilo hata marehemu baba wa Taifa aliliona na kulitambua.
Tatizo lao walikuwa hawajapata MTU sahihi.
Walijidanganya kuwa Dr Slaa alikuwa mtu makini lakini ukweli yule hakuwa kama walivyo kuwa wanamdhania, mtu yeyote anayeiacha huduma ya kanisa au msikiti na kuja siasani ni wa kumuangalia mara mbili utajuwa tuu ni mpenda ya dunia na sio mkweli.
Kwa Lowassa ndio usiseme kabisa, it was a big mistake. Lakini Lissu nadhani anamuacha mbali sana mgombea wetu wa CCM.
Zilete links tujiridhishe unayosema vinginevyo itakuwa ni porojo tuMleta Ni like Chadema time la siku nyingi nalijua hili .Mada zake nyingi Ni za kusifia Chadema sio chama kingine kiwe CCM au chochote
Kila la heri mkuu.
Tahadhari: Unapohama au kuhamia chama chochote cha kisiasa fuata SERA. Watu huwa wanabadilika/kufa au kuhama.
Kwa sababu hii uliyoweka mbona utahama sana!
Good riddance...
Hao ni wagumu kukubali ukweli. Ona mpaka bosi wao anapagawa jukwaani utadhani anafika kileleni?Umechina Memba yuko humu toka long. Hizi sio Id fake mlizotumwa mataga