CHADEMA mkisusa kuteua Wabunge wa Viti Maalumu mtakuwa mmejimaliza wenyewe

CDM haiwezi kubariki ushetwain. Sheria zinasema ukishirikiana na kibaka!
 
Hahaha CCM wametumia gharama kubwa wapi jomba. Mnachekesha mnadhani wananchi hawaelewi wanachoamua. Usiwachukulie poa watanzania..wanauwezo wa kupima na kuamua Nani ni Nani. Endeleeni kusingizia CCM Kama vile hamnazo.
 
Baada ya Maalim kususia uchaguzi 2015, wanachama walichangia chama kwa uwezo wao. Mbona aliweza kukiendesha chama kwa miaka mitano bila ruzuku ya serikali.
Mama nikumbushe ile zawadi usiisahau tafadhali
 
Nia yenu na madhumuni sikuwamaliza sasa tatizo liko wapi? Nendeni mkatuletee maendeleo kama mlivyoahidi mnawabembeleza vipi wapinga nawachelewesha maendeleo😂😂😂
 
Mbona unateseka? Vumilia ndiyo demokrasia hiyo. We waache wasusa.

Wao wamesusa wewe kula yakhe.
 
CUF ya MAALIM SEIF walisusia kabisa uchaguzi wa marudio na hawakufa njaa na moto wake umeuona.

Chadema ikijichanganya ipeleke viti Maalum imejimaliza yenyewe kwa kuua confidence ya wanachama wake.
 
Baada ya Maalim kususia uchaguzi 2015, wanachama walichangia chama kwa uwezo wao. Mbona aliweza kukiendesha chama kwa miaka mitano bila ruzuku ya serikali.
Mkuu, wale ni Wazanzibar. Huku bara, hakuna mapenzi ya hivyo. Waende tu Bungeni.
Kama unakumbuka kipindi kile walipotoka Bungeni kwa ajili ya Corona, pamoja na kuwa ilikuwa kwa nia nzuri, Watanzania wengi waliwageuka, na ikawa ni siraha kwenye kampeni za uchaguzi.
Kwa hiyo, hawa hawa wanaotoa ushauri kuwa WASUSE, hao hao baada ya siku chache kupita, wataanza kuwalaumu kwa kutokupeleka hao akina Dada/Mama Bungeni. Watu wa huku Bara hatuna msimamo, na ni wanafiki sana!
WAENDE TU BUNGENI!
 
Chadema ikipeleka hao viti maalum Bungeni wajiandae 2025 mikutano yao itakuwa kama ya Lipumba au Hashim Rungwe.
 
Kwani wamefikisha 5% ya wabunge ili wapate nafsi za viti maalum?
CCM wengi elimu ni ndogo sana, wanachukua kura za wabunge wote wa CHADEMA wanagawa kwa kura za wagombea wote wa ubunge TZ wanapata asilimia.

Licha ya uchakachuzi ila CHADEMA wana zaidi ya kura million 2 za ubunge tu! Hivyo wana qualify kupata 15% ya viti maalum vyote.

Imagine licha ya kuwanyima majimbo yote ila wana entitlement ya kupata viti 22? Then anakuja mpuuzi kudai upinzani umekufa cjui NCCR ndio KUB mpya!!

Funny
 
CHADEMA Arusha waliwahi susia vikao vya halamshauri baada ya meya kutokea CCM ila ilipofika 2015 wakazoa halamshauri nzima.

Msimamo ni muhimu kuliko maslahi ya siku 1, hata bunge la katiba walitoka nje ila uchaguzi serikali za mitaa 2014 uliona support waliopata nchi nzima!!

Kwa hiyo sio kweli kwamba wakisusaga huwa wanakosa support. Hayo ya Corona una quantify wapi kuwa walipingwa? Si wangerushiwa mawe wakati wa kampeni?
 

Kwanini mi-ccm inawaonea huruma sana CDM kuwa watatoweka? Si ndiyo iwe furaha yao CDM kutoweka?

Huruma hii imeanza lini?
 
Kwa njaa zao,watazungukana sasa hivi
 
Mkuu mbona unapingana Na sera yetu ya Tanzania ya kijani?
 
Waende bungeni kufanya nn wakati mungu wenu anadai ndio wanazuia maendeleo,kikubwa waachiwe bunge ccm huend maendeleo yatapatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…