CHADEMA mkitaka kuungwa mkono jiungeni na Sukuma Gang

CHADEMA mkitaka kuungwa mkono jiungeni na Sukuma Gang

love life live life

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
2,584
Reaction score
3,051
Ni ushauri wa bure kwa CHADEMA, mmemtukana sana Hayati ridhikeni sasa tafteni kuungwa mkono na hao
Sukuma Gang.

Hamkuona wenzenu rufiji wakitaja jina la hayati watu wanalipuka kwa shangwe!?
 
chadema ingekuwa ndio msaani naona anapaishwa sana ccm mpaka waliopo vijijini watatujua mapema kupitia ccm haraka
 
chadema ingekuwa ndio msaani naona anapaishwa sana ccm mpaka waliopo vijijini watatujua mapema kupitia ccm haraka
Msanii akiwa na skendo mbaya au nzuri kwake ni promo.
Chadema ina-loose reputation na credebility iliyojenga kwa miaka mingi
ikionekana kiongozi mkuu wake kapiga faru John
 
Back
Top Bottom