Matulanya Mputa
JF-Expert Member
- Aug 14, 2023
- 245
- 655
Natoa kongole kwa maandamano ya CHADEMA, maandamano yenu mmemaliza kwa kundi moja tu. Maandamano ni hatua, maandamano yenu leo ni hatua, hatua ya kwanza mmemaliza kuwakutanisha watu wa mijini hasa tabaka la chini na pia maandamano yenu leo yanachukuliwa kawaida kwakuwa wameona hayana sura mpya.
Ushauri wangu; maandamano kwakuwa ni njia ya kudai haki sasa nendeni katika makundi yafuatayo ili mfunge kazi, na maandamano yawe yenye tija na sura mpya;
(I) ITISHENI MAANDAMANO KUPINGA TATIZO LA AJIRA TU MSICHANGANYE NA MAMBO MENGINE (jifunzeni nchi za ulaya katika maandamano yao).
(II) ITISHENI MAANDAMANO YA KIKANDA KUHUSU CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAKULIMA NA WAFUGAJI (mfn; mkoa wa Ruvuma wanalia na bei ndogo ya mahindi, Mtwara korosho, Kanda ya ziwa pamba, pia angalieni changamoto zawafugai hasa wamasai na wasukuma).
(III) ITISHENI MAANDAMANO MKISHIRIKISHA WAFANYABIASHARA TU KUJUA CHANGAMOTO ZAO.
(III) NA MWISHO MARILIZENI NA WATUMISHI WA UMMA (hawa ndiyo usimama katika sanduku la kura japo hawezi kwenda barabarani lakini watasimama pamoha).
Kama kuna kundi nimesahau mtaongeza, kwa sisi wanahistoria ukirudi karne ya 16 bara la Ulaya utaona maandamano yao walivyoendesha kwa makundi na agenda maalumu na yakafanikiwa.
Kuna maeneo hamjagusa, mkigusa hayo maeneo hata katiba itakuja yenye.
MWENE: MATULANYA MPUTA
email:maggierozaria@gmail.com
Pia soma:
Ushauri wangu; maandamano kwakuwa ni njia ya kudai haki sasa nendeni katika makundi yafuatayo ili mfunge kazi, na maandamano yawe yenye tija na sura mpya;
(I) ITISHENI MAANDAMANO KUPINGA TATIZO LA AJIRA TU MSICHANGANYE NA MAMBO MENGINE (jifunzeni nchi za ulaya katika maandamano yao).
(II) ITISHENI MAANDAMANO YA KIKANDA KUHUSU CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAKULIMA NA WAFUGAJI (mfn; mkoa wa Ruvuma wanalia na bei ndogo ya mahindi, Mtwara korosho, Kanda ya ziwa pamba, pia angalieni changamoto zawafugai hasa wamasai na wasukuma).
(III) ITISHENI MAANDAMANO MKISHIRIKISHA WAFANYABIASHARA TU KUJUA CHANGAMOTO ZAO.
(III) NA MWISHO MARILIZENI NA WATUMISHI WA UMMA (hawa ndiyo usimama katika sanduku la kura japo hawezi kwenda barabarani lakini watasimama pamoha).
Kama kuna kundi nimesahau mtaongeza, kwa sisi wanahistoria ukirudi karne ya 16 bara la Ulaya utaona maandamano yao walivyoendesha kwa makundi na agenda maalumu na yakafanikiwa.
Kuna maeneo hamjagusa, mkigusa hayo maeneo hata katiba itakuja yenye.
MWENE: MATULANYA MPUTA
email:maggierozaria@gmail.com
Pia soma:
- Maandamano ya CHADEMA yamekosa umuhimu, mvuto na ushawishi
- Chalamila: Sina taarifa za maandamano, atakayejifanya takataka naye atabebwa siku hiyo
- Mbona CHADEMA mnalalamikia zoezi la usafi wakati RC Chalamila hajalaumu maandamano yenu?
- CHADEMA msitishwe na RC Chalamila
- Albert Chalamila: Usafi wa Wanajeshi hautoathiri maandamano ya CHADEMA
- Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA
- Tetesi: - Chalamila adaiwa kuhusika na ufutaji wa kipindi Wasafi FM
- Kauli za mkuu wa mkoa Chalamila kuhusu siku ya usafi Januari 24
- Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
- Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
- Abdul Mluya: Sisi tulishapigwa, kama CHADEMA wanataka maandamano wajipange na familia zao mbele wapate ladha yake
- Ni aibu kubwa sana kwa CHADEMA kufanya maandalizi ya maandamano Arusha wakati wananchi na mkoa upo kwenye majonzi na simanzi ya kupoteza wapendwa wao
- Hivi vile vyama 13 vya upinzani, vilivyoamua kuungana na CCM, kuwapinga Chadema, wanajisikiaje hivi sasa baada ya kuona maandamano hayo yamefanikiwa?
- Kitatokea nini endapo Vyama Vingine vya Upinzani vitajiunga na maandamano ya CHADEMA?
- Je, CHADEMA wataahirisha maandamano kufuatia kifo cha Edward Lowassa?
- Dkt. Slaa athibitisha kushiriki maandamano ya CHADEMA jijini Mwanza
- RC wa MBEYA atuhumiwa kuhujumu maandamano ya CHADEMA Mbeya
- Mwanza: Wananchi Wakesha kwenye ofisi za CHADEMA ili kuwahi Maandamano
- CHADEMA yaahirisha Maandamano ya Karatu kwa sababu ya Mafuriko
- Polisi watia fora maandamano CHADEMA: Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
- Chadema: Sasa Maandamano yatakuwa Utamaduni wetu wa maisha
- Wenje na Chief wanaongelea makubaliano chadema na polisi juu ya maandamano yao
- Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024
- CHADEMA Diaspora kufanya Maandamano makubwa Ulaya na Marekani muda wowote kuanzia sasa
- Joti anayapinga maandamano ya CHADEMA?
- Maandamano ya Chadema yaanza kuiunguza CCM, Viongozi wake waweweseka
- Kwanini CHADEMA watashindwa mapema kuelekea 2025 hata baada ya maandamano?
- CHADEMA kuwa chama cha Maandamano!
- Maandamano CHADEMA yasogezwa mbele
- Polisi kuyapiga marufuku maandamano ya chadema!!
- EFM wakejeli maandamano ya CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA ni jogging hayana impact kwa mtawala
- Maandamano ya CHADEMA yamekosa umuhimu, mvuto na ushawishi
- CHADEMA tafakarini kama maandamano ya Februari 15 ni sahihi
- Hivi waratibu wa maandamano ni CCM au CHADEMA, mbona CCM wanayaongelea sana?