Uchaguzi 2020 CHADEMA mkiweza kulinda kura ambazo Watanzania tutawapigieni, basi Ikulu ni yenu

Ni jukumu la wananchi kulinda kura zao siyo jukumu la CDM! Wanaoibiwa kura ni wananchi wenyewe.
 
Chadema na wapinzani ni nani, mbona kama unajitoa wakati umesema utawapa kura? Wewe upige kura yako usiilinde useme 'chadema' na wapinzani wailinde? Hakikisha unailinda kura yako, usitafute kisingizio.
 
Ukitaka kuona nyeti za nyumbu, subiri upepo upulize hapo October ,28.

Itakuwa fundisho kwa wapinga maendeleo wote.
Sijui hizi akili mnazitoa wapi. Wewe lazima ulibemendwa. Lete hoja yenye mashiko. Nyeti za nyumbu na upepo vina uhusiano gani? Acha ujinga.
 
Ni jukumu la wananchi kulinda kura zao siyo jukumu la CDM! Wanaoibiwa kura ni wananchi wenyewe.
siasa sio mwananchi, siasa ni uongozi na uongozi unao weza kubeba agenda muhimu za wananchi kama chama kinajali wapiga kura wao.

Leo hii hakuna siku Mbowe au Chadema waligawa pesa japokuwa walipewa ruzuku ya mabilioni na serikali.

usiwa vike vilemba vya ukoka wapiga kura.
 
Chadema na wapinzani ni nani, mbona kama unajitoa wakati umesema utawapa kura? Wewe upige kura yako usiilinde useme 'chadema' na wapinzani wailinde? Hakikisha unailinda kura yako, usitafute kisingizio.
tupo pamoja Mkuu.
Poga kura, linda kura.
 
chadema mi msingi imeenea kila pembe nchi hii.
viongozi wa serikali za mitaa wengi wao ni mapandikizi ambayo hayakuchaguliwa na wananchi, hayakubaliki kwa wananchi na wanachi huwa hawayasikilizi.
 
Kumbuka wananchi ndiyo wanaoenda kupiga kura kuchagua chama kitakachoongoza serikali yao! Sasa kama Serikali na vyombo vyake watapora haki yao ya kuchagua chama wanachokitaka wana haki hata ya kuandamana kudai haki yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…