Chadema mmejiandaa vipi na Serikali yenu ijayo, mda unaenda miaka mitatu sio mingi

Chadema mmejiandaa vipi na Serikali yenu ijayo, mda unaenda miaka mitatu sio mingi

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Mungu ibariki Tanzania, Afrika na wana jf wote, na watanzania KWa ujumla

Mada ni fupi Sana kwenu CHADEMA TZ, siku zinaisha, swali la msingi kwenu

Mmejiandaa vipi Serikali yenu 2025-2030, ?
Kumbuka mtakutana na nchi ambayo imearibiwa kila sehem, wenda pia Azina mkakuta inasoma ziro maana Kasi ya upigaji KWa sasa ni kubwa mno na awa wahuni izi pesa awaweki ndani, wanaweka nje ,hivyo ni lazima kuwa na mtandao imara na wakasi kuzirudisha ,

Sina shida na Rais , makam rais, pm, au mawaziri kutoka chama chenu shida ninayoiona mpaka Sasa

Ni Kama mnachelewa Sasa kwenye venting ya wabunge kwenye majimbo , fanyeni Ili mapema , Ili watu watarajiwa waanze kupiga jaramba katika majimbo yao, nakumbu tunataka kuwe na Bunge imara Ili likasimamie Serikali yenu vizuri

Naongea hivi KWa ujasiri mkubwa maana mna kibali na chapa kali ambayo hakuna wa kuigeuza , so yale sijui deep state ,sijui nini tupa kule ,Amin nini nawambia.

Chata hii kwenye kibali chenu ni ya moto , atakae shindana nayo ataondoka tu, imetoka wapi msiulize


Niwatakie maandalizi mema ya serikali ijayo chini ya chama chenu Cha CHADEMA
 
Mungu ibariki Tanzania, Afrika na wana jf wote, na watanzania KWa ujumla

Mada ni fupi Sana kwenu CHADEMA TZ, siku zinaisha, swali la msingi kwenu

Mmejiandaa vipi Serikali yenu 2025-2030, ?
Kumbuka mtakutana na nchi ambayo imearibiwa kila sehem, wenda pia Azina mkakuta inasoma ziro maana Kasi ya upigaji KWa sasa ni kubwa mno na awa wahuni izi pesa awaweki ndani, wanaweka nje ,hivyo ni lazima kuwa na mtandao imara na wakasi kuzirudisha ,

Sina shida na Rais , makam rais, pm, au mawaziri kutoka chama chenu shida ninayoiona mpaka Sasa

Ni Kama mnachelewa Sasa kwenye venting ya wabunge kwenye majimbo , fanyeni Ili mapema , Ili watu watarajiwa waanze kupiga jaramba katika majimbo yao, nakumbu tunataka kuwe na Bunge imara Ili likasimamie Serikali yenu vizuri

Naongea hivi KWa ujasiri mkubwa maana mna kibali na chapa kali ambayo hakuna wa kuigeuza , so yale sijui deep state ,sijui nini tupa kule ,Amin nini nawambia.

Chata hii kwenye kibali chenu ni ya moto , atakae shindana nayo ataondoka tu, imetoka wapi msiulize


Niwatakie maandalizi mema ya serikali ijayo chini ya chama chenu Cha CHADEMA
Mkuu mbona maandalizi yanaenda vizuri sana , Niko kwenye mikakati kabambe sana ya kuokoa Jimbo la Kyela
 
Chadema kitakacho tuingiza ikulu Ni ahadi ya
MAJI YA UHAKIKA NCHI NZIMA
UMEME WA UHAKIKA 24/7.....365
 
Bila kujali yote jua , chadema ina kibali na Chata kali , hakuna wakuwazuia , imekua tiyari, Mimi ndo 4 7 mbatizaji, mtumwa wa Mungu asie mchugaji, anaesali popote na mahali popote awapo bila kujali Dini, ila ambaye ibada zake huzifanya nyumbani akiwa peke yake bila waumini,
Chadema kitakacho tuingiza ikulu Ni ahadi ya
MAJI YA UHAKIKA NCHI NZIMA
UMEME WA UHAKIKA 24/7.....365
 
Mungu ibariki Tanzania, Afrika na wana jf wote, na watanzania KWa ujumla

Mada ni fupi Sana kwenu CHADEMA TZ, siku zinaisha, swali la msingi kwenu

Mmejiandaa vipi Serikali yenu 2025-2030, ?
Kumbuka mtakutana na nchi ambayo imearibiwa kila sehem, wenda pia Azina mkakuta inasoma ziro maana Kasi ya upigaji KWa sasa ni kubwa mno na awa wahuni izi pesa awaweki ndani, wanaweka nje ,hivyo ni lazima kuwa na mtandao imara na wakasi kuzirudisha ,

Sina shida na Rais , makam rais, pm, au mawaziri kutoka chama chenu shida ninayoiona mpaka Sasa

Ni Kama mnachelewa Sasa kwenye venting ya wabunge kwenye majimbo , fanyeni Ili mapema , Ili watu watarajiwa waanze kupiga jaramba katika majimbo yao, nakumbu tunataka kuwe na Bunge imara Ili likasimamie Serikali yenu vizuri

Naongea hivi KWa ujasiri mkubwa maana mna kibali na chapa kali ambayo hakuna wa kuigeuza , so yale sijui deep state ,sijui nini tupa kule ,Amin nini nawambia.

Chata hii kwenye kibali chenu ni ya moto , atakae shindana nayo ataondoka tu, imetoka wapi msiulize


Niwatakie maandalizi mema ya serikali ijayo chini ya chama chenu Cha CHADEMA

Asante sana. Kama inawezekana iweke kwenye maandishi uitume makao makuu. Itawasaidia Sana kujijenga.
 
Chadema inawakongwe, kwenye Siasa na wengi wao walisha kuwa wabunge, msije shindwa kuwapa nafasi za kugombea, itawasaidia tengeneza serikali nzuri , ila Kuna majina ya vijana siku nikibarikiwa nitakuja na majina yao wanatakiwa kuwa bungeni
 
Mkuu mbona maandalizi yanaenda vizuri sana , Niko kwenye mikakati kabambe sana ya kuokoa Jimbo la Kyela
Mtaishia kwenye majimbo,nchi bado hamna mikakati ya kuichukua.
Bado,bado bado sana.

Na hata hayo majimbo mkikaa vibaya napo mtapoteana kama TLP.

CCM imechokwa lakini upinzani wa maana Tanzania hakuna.
Kenya wametuzidi pakubwa
 
Back
Top Bottom