CHADEMA mmepata ajenda nzuri ya kuiondoa CCM madarakani, mjivuruge wenyewe sasa!

CHADEMA mmepata ajenda nzuri ya kuiondoa CCM madarakani, mjivuruge wenyewe sasa!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Hata mtu mjinga anajua kuwa huu mkataba wa "kuwauzia" Waarabu Bandari zetu umepatikana kilaghai!

Nape Nnauye ni mnafiki sana! Analinganisha mkataba wa Bomba la Mafuta na huu wa Bandari,wakati anajua wakati wa Hayati Rais Magufuli mkataba ule ulijadiliwa na Baraza la Mawaziri mara kadhaa!

Sasa Nape Mosses Nnauye waambie Watanzania ni lini Baraza la Mawaziri lilijadili mkataba huo wa " kumuuzia" Mwarabu Bandari zetu !?

Kama Bandari ni suala la Muungano kwanini Waziri Kiongozi Abdulla anasema mkataba huo hautahusu Bandari za Zanzibar!?

Kama mkataba huo una manufaa basi hayo manufaa hayatakwenda Zanzibar pia ?!
Acheni kutanguliza matumbo yenu badala ya vichwa vyenu!

Leo hii DP WORLD wataendesha Bandari Kavu Rwanda na mizigo itakayopitia Bandari ya Dar inaweza kufanywa CIF Rwanda!

Kwa ufupi ni kwamba shughuli yote ya kusafirisha Containers /Makasha inaweza kufanywa na DP World na biashara yote ya Malori kwa Watanzania ikafa mkabaki kutoa macho tu !

Rais Paul Kagame leo atakuwa anatucheka tu kwa uzuzu wetu! Zuzu hata ulipe almasi unaweza kulinyang'anya kwa kulidanganya kwa peremende tu!

DR Congo, Malawi, Burundi, Uganda n.k wanaweza kufuata mizigo yao Rwanda , kwa nini isiwezekane kwa mtu mwenye akili kubwa kama Paul Kagame?! Na hata Kariakoo inaweza kufa kabisa likabaki soko la kuuzia bamia na matikiti maji tu!

Vyama vya upinzani unganeni muwe mbadala wa kulikomboa Taifa hili la Hayati Nyerere toka mikononi mwa Ukoloni wa kijinga wa Mwarabu!

Hata CCM wenye akili wanajua hili jambo ni kubwa na halikupaswa kuendewa kienyeji enyeji kama lilivyopelekwa!
Wasiwasi ndio akili! tuweni macho na watu waliovembewa kama akina Nape Nnauye! tuwapuuze!
 
Umoja kati ya wao wenyewe hakuna, ivo ni ngumu
 
Hata mtu mjinga anajua kuwa huu mkataba wa "kuwauzia" Waarabu Bandari zetu umepatikana kilaghai!

Nape Nnauye ni mnafiki sana! Analinganisha mkataba wa Bomba la Mafuta na huu wa Bandari,wakati anajua wakati wa Hayati Rais Magufuli mkataba ule ulijadiliwa na Baraza la Mawaziri mara kadhaa!

Sasa Nape Mosses Nnauye waambie Watanzania ni lini Baraza la Mawaziri lilijadili mkataba huo wa " kumuuzia" Mwarabu Bandari zetu !?

Kama Bandari ni suala la Muungano kwanini Waziri Kiongozi Abdulla anasema mkataba huo hautahusu Bandari za Zanzibar!?

Kama mkataba huo una manufaa basi hayo manufaa hayatakwenda Zanzibar pia ?!
Acheni kutanguliza matumbo yenu badala ya vichwa vyenu!

Leo hii DP WORLD wataendesha Bandari Kavu Rwanda na mizigo itakayopitia Bandari ya Dar inaweza kufanywa CIF Rwanda!

Kwa ufupi ni kwamba shughuli yote ya kusafirisha Containers /Makasha inaweza kufanywa na DP World na biashara yote ya Malori kwa Watanzania ikafa mkabaki kutoa macho tu !

Rais Paul Kagame leo atakuwa anatucheka tu kwa uzuzu wetu! Zuzu hata ulipe almasi unaweza kulinyang'anya kwa kulidanganya kwa peremende tu!

DR Congo, Malawi, Burundi, Uganda n.k wanaweza kufuata mizigo yao Rwanda , kwa nini isiwezekane kwa mtu mwenye akili kubwa kama Paul Kagame?! Na hata Kariakoo inaweza kufa kabisa likabaki soko la kuuzia bamia na matikiti maji tu!

Vyama vya upinzani unganeni muwe mbadala wa kulikomboa Taifa hili la Hayati Nyerere toka mikononi mwa Ukoloni wa kijinga wa Mwarabu!

Hata CCM wenye akili wanajua hili jambo ni kubwa na halikupaswa kuendewa kienyeji enyeji kama lilivyopelekwa!
Wasiwasi ndio akili! tuweni macho na watu waliovembewa kama akina Nape Nnauye! tuwapuuze!
Erythrocyte hii ni muhimu sana. Hata wajinga wamejitambua watanganyika
 
Hata mtu mjinga anajua kuwa huu mkataba wa "kuwauzia" Waarabu Bandari zetu umepatikana kilaghai!

Nape Nnauye ni mnafiki sana! Analinganisha mkataba wa Bomba la Mafuta na huu wa Bandari,wakati anajua wakati wa Hayati Rais Magufuli mkataba ule ulijadiliwa na Baraza la Mawaziri mara kadhaa!

Sasa Nape Mosses Nnauye waambie Watanzania ni lini Baraza la Mawaziri lilijadili mkataba huo wa " kumuuzia" Mwarabu Bandari zetu !?

Kama Bandari ni suala la Muungano kwanini Waziri Kiongozi Abdulla anasema mkataba huo hautahusu Bandari za Zanzibar!?

Kama mkataba huo una manufaa basi hayo manufaa hayatakwenda Zanzibar pia ?!
Acheni kutanguliza matumbo yenu badala ya vichwa vyenu!

Leo hii DP WORLD wataendesha Bandari Kavu Rwanda na mizigo itakayopitia Bandari ya Dar inaweza kufanywa CIF Rwanda!

Kwa ufupi ni kwamba shughuli yote ya kusafirisha Containers /Makasha inaweza kufanywa na DP World na biashara yote ya Malori kwa Watanzania ikafa mkabaki kutoa macho tu !

Rais Paul Kagame leo atakuwa anatucheka tu kwa uzuzu wetu! Zuzu hata ulipe almasi unaweza kulinyang'anya kwa kulidanganya kwa peremende tu!

DR Congo, Malawi, Burundi, Uganda n.k wanaweza kufuata mizigo yao Rwanda , kwa nini isiwezekane kwa mtu mwenye akili kubwa kama Paul Kagame?! Na hata Kariakoo inaweza kufa kabisa likabaki soko la kuuzia bamia na matikiti maji tu!

Vyama vya upinzani unganeni muwe mbadala wa kulikomboa Taifa hili la Hayati Nyerere toka mikononi mwa Ukoloni wa kijinga wa Mwarabu!

Hata CCM wenye akili wanajua hili jambo ni kubwa na halikupaswa kuendewa kienyeji enyeji kama lilivyopelekwa!
Wasiwasi ndio akili! tuweni macho na watu waliovembewa kama akina Nape Nnauye! tuwapuuze!
Kwan ule utaratib wa kikundi flan kuamua nan awe, nan asiwe hakipo tena?
 
DP world, ije kwa utaratibu wa PPP- public - Private Partneships. Labda ndio tutaelewa, sio hii magumashi wa hawa waaarbu wa;lio hasi mababu zeru harafu leo wanataka wanayo yataka.. Never. Viongozi amkeni, kama mmeshindwa, waachieni watanzania wengine watuingoze, nchi ya watu million 60 - tunaweza !
 
Kuindoa CCM madarakani haiwezekani.Isipokuwa upinzani utapata ahueni kidogo.Kwa hakika upinzani huwa unapata nguvu, CCM ikifanya makosa kama hayo ya uwekezaji bandarini.
 
Duh kwa hiyo Zanzibar hata kwenye manufaa ya huo mkataba haitapata pia maana bandari zao wameziweka kando

Mara hii Zanzibar imeitawala Tanganyika wazi wazi
 
Hata mtu mjinga anajua kuwa huu mkataba wa "kuwauzia" Waarabu Bandari zetu umepatikana kilaghai!

Nape Nnauye ni mnafiki sana! Analinganisha mkataba wa Bomba la Mafuta na huu wa Bandari,wakati anajua wakati wa Hayati Rais Magufuli mkataba ule ulijadiliwa na Baraza la Mawaziri mara kadhaa!

Sasa Nape Mosses Nnauye waambie Watanzania ni lini Baraza la Mawaziri lilijadili mkataba huo wa " kumuuzia" Mwarabu Bandari zetu !?

Kama Bandari ni suala la Muungano kwanini Waziri Kiongozi Abdulla anasema mkataba huo hautahusu Bandari za Zanzibar!?

Kama mkataba huo una manufaa basi hayo manufaa hayatakwenda Zanzibar pia ?!
Acheni kutanguliza matumbo yenu badala ya vichwa vyenu!

Leo hii DP WORLD wataendesha Bandari Kavu Rwanda na mizigo itakayopitia Bandari ya Dar inaweza kufanywa CIF Rwanda!

Kwa ufupi ni kwamba shughuli yote ya kusafirisha Containers /Makasha inaweza kufanywa na DP World na biashara yote ya Malori kwa Watanzania ikafa mkabaki kutoa macho tu !

Rais Paul Kagame leo atakuwa anatucheka tu kwa uzuzu wetu! Zuzu hata ulipe almasi unaweza kulinyang'anya kwa kulidanganya kwa peremende tu!

DR Congo, Malawi, Burundi, Uganda n.k wanaweza kufuata mizigo yao Rwanda , kwa nini isiwezekane kwa mtu mwenye akili kubwa kama Paul Kagame?! Na hata Kariakoo inaweza kufa kabisa likabaki soko la kuuzia bamia na matikiti maji tu!

Vyama vya upinzani unganeni muwe mbadala wa kulikomboa Taifa hili la Hayati Nyerere toka mikononi mwa Ukoloni wa kijinga wa Mwarabu!

Hata CCM wenye akili wanajua hili jambo ni kubwa na halikupaswa kuendewa kienyeji enyeji kama lilivyopelekwa!
Wasiwasi ndio akili! tuweni macho na watu waliovembewa kama akina Nape Nnauye! tuwapuuze!
My friend you are shooting yourself on the foot. Kagame acheke nini, si atafurahi huduma? Capacity ya DP Rwanda ni kontena ELFU 50, ya kwetu ukiiweka Vigwaza pori la Chalinze ni kotena MILIONI 50. Hata ukimpa Kagame atazitapika, hana capacity ya kula milioni 50. ZFZMWCCM.
 
Hata mtu mjinga anajua kuwa huu mkataba wa "kuwauzia" Waarabu Bandari zetu umepatikana kilaghai!

Nape Nnauye ni mnafiki sana! Analinganisha mkataba wa Bomba la Mafuta na huu wa Bandari,wakati anajua wakati wa Hayati Rais Magufuli mkataba ule ulijadiliwa na Baraza la Mawaziri mara kadhaa!

Sasa Nape Mosses Nnauye waambie Watanzania ni lini Baraza la Mawaziri lilijadili mkataba huo wa " kumuuzia" Mwarabu Bandari zetu !?

Kama Bandari ni suala la Muungano kwanini Waziri Kiongozi Abdulla anasema mkataba huo hautahusu Bandari za Zanzibar!?

Kama mkataba huo una manufaa basi hayo manufaa hayatakwenda Zanzibar pia ?!
Acheni kutanguliza matumbo yenu badala ya vichwa vyenu!

Leo hii DP WORLD wataendesha Bandari Kavu Rwanda na mizigo itakayopitia Bandari ya Dar inaweza kufanywa CIF Rwanda!

Kwa ufupi ni kwamba shughuli yote ya kusafirisha Containers /Makasha inaweza kufanywa na DP World na biashara yote ya Malori kwa Watanzania ikafa mkabaki kutoa macho tu !

Rais Paul Kagame leo atakuwa anatucheka tu kwa uzuzu wetu! Zuzu hata ulipe almasi unaweza kulinyang'anya kwa kulidanganya kwa peremende tu!

DR Congo, Malawi, Burundi, Uganda n.k wanaweza kufuata mizigo yao Rwanda , kwa nini isiwezekane kwa mtu mwenye akili kubwa kama Paul Kagame?! Na hata Kariakoo inaweza kufa kabisa likabaki soko la kuuzia bamia na matikiti maji tu!

Vyama vya upinzani unganeni muwe mbadala wa kulikomboa Taifa hili la Hayati Nyerere toka mikononi mwa Ukoloni wa kijinga wa Mwarabu!

Hata CCM wenye akili wanajua hili jambo ni kubwa na halikupaswa kuendewa kienyeji enyeji kama lilivyopelekwa!
Wasiwasi ndio akili! tuweni macho na watu waliovembewa kama akina Nape Nnauye! tuwapuuze!
Upinzani Wa Bepari uchwara Zito.?
Upinzani Wa Bepari Mbowe.?
Upinzani Wa Mchumi tumbo Lipumba?
Upinzani Wa pinga pinga Lisu.?
Upinzani Wa kuna Halima Mdee ?
Upinzani upi Tanzania?

Hakuna Upinzani wenye Nguvu na uwezo Wa kumtoa Mama Samia nje CCM .
CCM wanapaswa kuiondosha Serikali Yao inayoturudisha utumwani vizazi na vizazi na kuhatarisha usalama na umoja Wa nchi yetu.
 
Tatizo la chadema ni watu wenye uelewa mkubwa ni wachache sana

Ukisikiliza viongozi wa chadema wachache sana wenye content kama Dr.slaa

Yule muhuni wa mbeya aliyeishia la saba aliposikia bandari imeuzwa akashauri na airport iuzwe akidhani anamkomoa tulia


Watu kama kina lema wanapiga simu kwa mafisadi juu ya hatma yao [emoji16]


Chadema imrudishe slaa watasimama
 
Back
Top Bottom