CHADEMA mnapinga tozo kisha mnaomba michango yenu ipitie kwenye tozo

CHADEMA mnapinga tozo kisha mnaomba michango yenu ipitie kwenye tozo

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Chadema mnaaminisha watu na kuhamasisha wagomee miamala kwa sababu ya tozo
Harafu hapo hapo mnunaomba michango ya kufungua kesi itumwe kwenye MPESA kwenye tozo.

Cha kushangaza wanawambia watu watume kwenye account yake binafsi kwa nini wasitume kwenye account ya chama.

Huu umeishakuwa mradi watu wanatafuta kesi wapate pesa Mdude kachangiwa pesa eti aanze biashara lakini kila siku anashida twita anatukana tu.


IMG_20210812_083909.jpg
 
Ukisimamisha shughuli zako za kimaisha utaishije?

Tozo zinapingwa huku mambo mengine yakiendelea, unataka watanzania waendelee kusota magerezani kwa kesi za kupikwa mpaka Samia atakapoamua kuondoa tozo?
 
Wakati huohuo wakihamasishana kutokutumia mtandao wa Vodacom, cha ajabu no inayotumiwa pesa za mchango ni mtandao wa Vodacom!!

Hivi, Chadema ni watuuu...! au mazo...mbi
 
Mkuu ulipata muda kdg wa kutakari kabla ya kurusha hili? Ww pia unapinga tozo je umeacha kuishi sbb unapinga tozo?
 
Mkuu ulipata muda kdg wa kutakari kabla ya kurusha hili? Ww pia unapinga tozo je umeacha kuishi sbb unapinga tozo?
Na wewe ulipata muda wa kujiuliza tuna tuma pesa kwenye namba ya mtu binafsi ni sawa?
 
Ukisimamisha shughuli zako za kimaisha utaishije?

Tozo zinapingwa huku mambo mengine yakiendelea, unataka watanzania waendelee kusota magerezani kwa kesi za kupikwa mpaka Samia atakapoamua kuondoa tozo?
Mbowe, aliposema hatupo tayar kumpa muda rais kuhusu katiba mbona hamataki saula la pesa mpo tayari kupokea😀
 
Mpumbavu ni nani?

Mtu anayechangia hela kwenda kwenye akaunti binafsi ya mtu!. Hatujasahau waliyoyafanya kwenye hela za michango ya kuwalipia faini akina Mbowe!.
 
Wanaukumbi.

Chadema mnaaminisha watu na kuhamasisha wagomee miamala kwa sababu ya tozo
Harafu hapo hapo mnunaomba michango ya kufungua kesi itumwe kwenye MPESA kwenye tozo.

Cha kushangaza wanawambia watu watume kwenye account yake binafsi kwa nini wasitume kwenye account ya chama.

Huu umeishakuwa mradi watu wanatafuta kesi wapate pesa Mdude kachangiwa pesa eti aanze biashara lakini kila siku anashida twita anatukana tu.

View attachment 1889240
Kwangu Mimi CHADEMA nilikuwa nakiona ni Chama wakati wa akina Dkt. Slaa na Zitto Kabwe, ila kwa sasa nakiona ni Chama cha Mihemko, Kuchanganyikiwa na Magaidi fulani hivi wanaojificha katika Siasa na Demokrasia.
 
Wanaukumbi.

Chadema mnaaminisha watu na kuhamasisha wagomee miamala kwa sababu ya tozo
Harafu hapo hapo mnunaomba michango ya kufungua kesi itumwe kwenye MPESA kwenye tozo.

Cha kushangaza wanawambia watu watume kwenye account yake binafsi kwa nini wasitume kwenye account ya chama.

Huu umeishakuwa mradi watu wanatafuta kesi wapate pesa Mdude kachangiwa pesa eti aanze biashara lakini kila siku anashida twita anatukana tu.

View attachment 1889240
Huwa unaleta hoja dhaifu ila hii ya Leo dah, umeharibu kabisa! Hii umechemka pakubwa sana
 
Huwa unaleta hoja dhaifu ila hii ya Leo dah, umeharibu kabisa! Hii umechemka pakubwa sana
Jifunze kusoma vitu usivyovipenda itakuwa uhuru zaidi kifikra sasa hoja zangu unaziita dhaifu kutokana zinapinga na zako.
 
Kweli chadema wa kulia mashaka sana! Chama kimesajiliwa na orgànaizesheni zake rasmi lakini bado wanatumia njia na mali za mtu binafsi kufanya shughuli zao. Huu ni ubabaishaji uliopitikiza.

Mkuu( mleta mada), ni lini mtatuhurumia sisi raia na kupunguza tozo ama kusiondoa kabisa kwenye miamala ya simu? Pia ni lini mtatambua kuwa ni kuumiza wananchi kwa kuwapandishia kodi kwenye mafuta, na pembejeo za kilimo, katika kipindi hiki cha covid ili muzipunguze ama muziondoe!?
 
Jifunze kusoma vitu usivyovipenda itakuwa uhuru zaidi kifikra sasa hoja zangu unaziita dhaifu kutokana zinapinga na zako.
Nimesoma ndio maana nikapinga! Tumia akili kidoogoo punguza mahaba. Hivi ulitaka wafanyeje? Tumpelekee mkononi??
 
Wanaukumbi.

Chadema mnaaminisha watu na kuhamasisha wagomee miamala kwa sababu ya tozo
Harafu hapo hapo mnunaomba michango ya kufungua kesi itumwe kwenye MPESA kwenye tozo.

Cha kushangaza wanawambia watu watume kwenye account yake binafsi kwa nini wasitume kwenye account ya chama.

Huu umeishakuwa mradi watu wanatafuta kesi wapate pesa Mdude kachangiwa pesa eti aanze biashara lakini kila siku anashida twita anatukana tu.


Watanzania tulio wengi tuna[pinga ozo siyo chadema tu!
 
Nimesoma ndio maana nikapinga! Tumia akili kidoogoo punguza mahaba. Hivi ulitaka wafanyeje? Tumpelekee mkononi??
Majibu mepesi sana Yaani michango iende kwenye akaunti binafsi ya mtu ?
 
Kweli chadema wa kulia mashaka sana! Chama kimesajiliwa na orgànaizesheni zake rasmi lakini bado wanatumia njia na mali za mtu binafsi kufanya shughuli zao. Huu ni ubabaishaji uliopitikiza.

Mkuu( mleta mada), ni lini mtatuhurumia sisi raia na kupunguza tozo ama kusiondoa kabisa kwenye miamala ya simu? Pia ni lini mtatambua kuwa ni kuumiza wananchi kwa kuwapandishia kodi kwenye mafuta, na pembejeo za kilimo, katika kipindi hiki cha covid ili muzipunguze ama muziondoe!?
Mkuu mimi ni raia wa kawaida muuza kahawa na kashata tu.
 
Back
Top Bottom