Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Wasalaam,
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mtaa mwezi ujao naona CHADEMA mmeamua kulamba matapishi yenu kwa kushiriki uchaguzi ambao kwa vyovyote vile hamuwezi kuashinda kwani kwa 90% wazimamizi wote wa uchaguzi ni makada wa CCM.
Inashangaza kwenda kwenye uchaguzi kisha mkishashindwa mtaita media na kulalamika kinafiki kwamba uchaguzi haukua huru na haki na kwamba mmeibiwa kura.
Ilikua ni swala jema mngewaacha ccm na washirika wake kina ACT na CHAUMA wagawane hiyo mitaa mngejenga imani kwa watanzania kuwa kweli nyinyi ni Chama cha Democrasia na maendelea na mchakato wa kudai Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini kitendo cha kushiriki kitu mlichowaminisha watanzania ni haramu ni kubariki hiyo haramu.
My take:
Ukiisha uchaguzi msithubutu kuitisha media na kulalamika mumechezewa rafu huo utakua ni unafiki zaidi ya unafiki.
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mtaa mwezi ujao naona CHADEMA mmeamua kulamba matapishi yenu kwa kushiriki uchaguzi ambao kwa vyovyote vile hamuwezi kuashinda kwani kwa 90% wazimamizi wote wa uchaguzi ni makada wa CCM.
Inashangaza kwenda kwenye uchaguzi kisha mkishashindwa mtaita media na kulalamika kinafiki kwamba uchaguzi haukua huru na haki na kwamba mmeibiwa kura.
Ilikua ni swala jema mngewaacha ccm na washirika wake kina ACT na CHAUMA wagawane hiyo mitaa mngejenga imani kwa watanzania kuwa kweli nyinyi ni Chama cha Democrasia na maendelea na mchakato wa kudai Tume Huru ya Uchaguzi.
Lakini kitendo cha kushiriki kitu mlichowaminisha watanzania ni haramu ni kubariki hiyo haramu.
My take:
Ukiisha uchaguzi msithubutu kuitisha media na kulalamika mumechezewa rafu huo utakua ni unafiki zaidi ya unafiki.