Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wakiongozwa na Marekani, wafahili wanaweza kukata ama kupunguza mikopo na misaada kwa Tanzania kutokana na ujinga unaoendelea hivi sasa.Hivyo, ili kuwaridhisha wafadhili, hayo makesi ya mchongo yatafutwa na mnaweza kuitwa Ikulu.
Pia, katika kujisafisha, Mama atatamani sana apige picha na viongozi wakuu wa CHADEMA ili picha hizo zisambazwe humu nchini na duniani kwa ujumla.
Wito: CHADEMA kuweni na mashariti kabla ya kuitikia wito wowote ule na mojawapo ni kutaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Bwana Masauni na IGP Wambura wanajiuzulu bila kusahau shariti la Waziri wa TAMISEMI kutosimamia uchaguzi wa serikali za mitaa
Pia, katika kujisafisha, Mama atatamani sana apige picha na viongozi wakuu wa CHADEMA ili picha hizo zisambazwe humu nchini na duniani kwa ujumla.
Wito: CHADEMA kuweni na mashariti kabla ya kuitikia wito wowote ule na mojawapo ni kutaka Waziri wa Mambo ya Ndani, Bwana Masauni na IGP Wambura wanajiuzulu bila kusahau shariti la Waziri wa TAMISEMI kutosimamia uchaguzi wa serikali za mitaa