Hakuna cha kuitwa Ikulu wala lolote, infact baada ya muda wataachiwa tu, hawa jamaa hakuna hata haja au ulazima wa kukaa nao, muhimu serekali idhibiti watu kutekwa, na yasitokee tena, although, tutashuhudia chadema wakijiteka wenyewe, lengo ni kuonekana upinzani unagandamizwa na misaada ya nje ni muhimu kwao!