Chadema Moto unawaka; Henry Kilewo amshukia Lema Kwa kumtosa " home boy" Mbowe, Lema ajibu YEYE siyo Mkabila Chadema ni ya Watanzania wote

Chadema Moto unawaka; Henry Kilewo amshukia Lema Kwa kumtosa " home boy" Mbowe, Lema ajibu YEYE siyo Mkabila Chadema ni ya Watanzania wote

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mgombea Ubunge wa Chadema Jimbo la Rombo ambaye pia ni Meneja wa Mtangazaji maarufu nchini Joyce Kiria Mh Henry Kilewo amemshukia vikali mjumbe wa CC ya Chadema Mh Godbless Lema Kwa kutomuunga mkono mchagga mwenzake Mbowe na badala yake akawa na Mnyaturu Tundu Lissu

Kilewo amesema kitendo cha Lema kushauri Mbowe anunuliwe Zawadi ya gari ni kutaka kujipendekeza tu kwani Mbowe hana shida ya gari

Naye Godbless Lema amemjibu Kilewo kwamba ni heri akae Kwa Kutulia kwani anayajua mauchafu yake mengi sana

Lema amesema yeye hapendekezagi mambo ya Ukabila ingawa wanatoka Kijiji kimoja na Mbowe

Mnyukano unaendelea Ukurasani X

Ahsanteni sana 😄
 
Mnyampaa kawanyang'anya wachaga chama chao. Mbowe ana kazi nzito ya kumjibu baba mkwe wake aliyemrithisha chama. Kafanya uzembe wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom