CHADEMA msigeuke kuwa Maalim Seif wa Tanganyika, CCM na Serikali yake haitoacha udhalimu. Simamieni misingi yenu

CHADEMA msigeuke kuwa Maalim Seif wa Tanganyika, CCM na Serikali yake haitoacha udhalimu. Simamieni misingi yenu

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Tunatakiwa kujiuliza kwanini nchi inapotaka kufanya maandamano ya amani na ku express hisia za wananchi, CCM huwa inahaha kuhakikisha hilo jambo halitokei, kuna nini? Shida ni nini?

Je ni mkate wenye siagi nyingi utapotea?

CCM na serikali yake inalazimisha umma kuamini nchi inaamani, uhalisia wa vitendo ni tofauti na huku tunashuhudia maiti kila uchao

Kama Serikali ya CCM ingekuwa inaheshimu amani ya nchi, tungekuwa na katiba tayari, polisi wangekuwa na nidham na raia, viongozi wangekuwa na nidham na raia.

Yupo amefikia hata kusema hatopeleka huduma kisesa, hii yote ni kuonesha wao wana power kuliko raia.

Chadema kama mmekusudia kutetea haki ya wananchi na maslahi ya Taifa yaliyouzwa, basi ya kanisani yaacheni kanisani kwa maana hata Padri amekiri leo kuwa things are not so well in Tanzania

Hoja ya msingi ni mbona hivi vifo na utekaji tunasikia kwa raia na upinzani tu, mbona sio kwa CCM au watoto wa viongozi? Ni amani gani inayozungumzwa na watu wa serikali ya CCM?

CCM acheni uoga changes ni inevitable katika maisha, nothing last forever, anzeni kujifunza mabadiliko, maana denial yenu na kujiona nyie mna hati miliki na nchi huku mnajaza matumbo yenu , mtaiweka nchi kwenye shida!

Hilter too had a vision for a new Germany

Yakanisani yaachwe kanisani... Chadema simamieni msimamo wenu na kanisa linawategemea ndio maana padri ametamka mbele ya hao mafisi-emu kuwa hali sio shwari ili muweze kuirudisha amani na tumain kwa raia, hofu kwa raia ni kubwa

Dr. Megalodon, Otawwa
 
Screenshot_2024-09-15-18-16-20-1.png
 
Tunatakiwa kujiuliza kwanini nchi inapotaka kufanya maandamano ya amani na ku express hisia za wananchi, CCM huwa inahaha kuhakikisha hilo jambo halitokei, kuna nini? Shida ni nini?

Je ni mkate wenye siagi nyingi utapotea?

CCM na serikali yake inalazimisha umma kuamini nchi inaamani, uhalisia wa vitendo ni tofauti na huku tunashuhudia maiti kila uchao

Kama Serikali ya CCM ingekuwa inaheshimu amani ya nchi, tungekuwa na katiba tayari, polisi wangekuwa na nidham na raia, viongozi wangekuwa na nidham na raia.

Yupo amefikia hata kusema hatopeleka huduma kisesa, hii yote ni kuonesha wao wana power kuliko raia.

Chadema kama mmekusudia kutetea haki ya wananchi na maslahi ya Taifa yaliyouzwa, basi ya kanisani yaacheni kanisani kwa maana hata Padri amekiri leo kuwa things are not so well in Tanzania

Hoja ya msingi ni mbona hivi vifo na utekaji tunasikia kwa raia na upinzani tu, mbona sio kwa CCM au watoto wa viongozi? Ni amani gani inayozungumzwa na watu wa serikali ya CCM?

CCM acheni uoga changes ni inevitable katika maisha, nothing last forever, anzeni kujifunza mabadiliko, maana denial yenu na kujiona nyie mna hati miliki na nchi huku mnajaza matumbo yenu , mtaiweka nchi kwenye shida!

Hilter too had a vision for a new Germany

Yakanisani yaachwe kanisani... Chadema simamieni msimamo wenu na kanisa linawategemea ndio maana padri ametamka mbele ya hao mafisi-emu kuwa hali sio shwari ili muweze kuirudisha amani na tumain kwa raia, hofu kwa raia ni kubwa

Dr. Megalodon, Otawwa
Ni mazoea na unaemuinea kila wakati kumuona bwege kwa kutojitetea. Wizi wa kura kila wakati hadi wanaona ni utaratibu. Unaemuonea kila wakati naye ipo siku ataamua liwalo na liwe. Suluhisho ni watekaji na wauaji wakamatwe na raia kuhakikishiwa usalama wa maisha yao.
 
Tunatakiwa kujiuliza kwanini nchi inapotaka kufanya maandamano ya amani na ku express hisia za wananchi, CCM huwa inahaha kuhakikisha hilo jambo halitokei, kuna nini? Shida ni nini?

Je ni mkate wenye siagi nyingi utapotea?

CCM na serikali yake inalazimisha umma kuamini nchi inaamani, uhalisia wa vitendo ni tofauti na huku tunashuhudia maiti kila uchao

Kama Serikali ya CCM ingekuwa inaheshimu amani ya nchi, tungekuwa na katiba tayari, polisi wangekuwa na nidham na raia, viongozi wangekuwa na nidham na raia.

Yupo amefikia hata kusema hatopeleka huduma kisesa, hii yote ni kuonesha wao wana power kuliko raia.

Chadema kama mmekusudia kutetea haki ya wananchi na maslahi ya Taifa yaliyouzwa, basi ya kanisani yaacheni kanisani kwa maana hata Padri amekiri leo kuwa things are not so well in Tanzania

Hoja ya msingi ni mbona hivi vifo na utekaji tunasikia kwa raia na upinzani tu, mbona sio kwa CCM au watoto wa viongozi? Ni amani gani inayozungumzwa na watu wa serikali ya CCM?

CCM acheni uoga changes ni inevitable katika maisha, nothing last forever, anzeni kujifunza mabadiliko, maana denial yenu na kujiona nyie mna hati miliki na nchi huku mnajaza matumbo yenu , mtaiweka nchi kwenye shida!

Hilter too had a vision for a new Germany

Yakanisani yaachwe kanisani... Chadema simamieni msimamo wenu na kanisa linawategemea ndio maana padri ametamka mbele ya hao mafisi-emu kuwa hali sio shwari ili muweze kuirudisha amani na tumain kwa raia, hofu kwa raia ni kubwa

Dr. Megalodon, Otawwa
CCM na polisi yao watasikia kupitia maandamano pekee nje ya hapo hakuna kitu.
 
Maandamano ni TAKWA la Kikatiba..acheni watu watoe malalamiko yao..kwanza kihistoria Maandamano ya CHADEMA huwa yamejaa AMANI na UPENDO wa khali ya juu..WAACHENI
 
Back
Top Bottom