comte JF-Expert Member Joined Dec 11, 2011 Posts 9,019 Reaction score 6,825 Jun 23, 2024 #1 View: https://x.com/i/status/1804579043171299343
The Palm Beach JF-Expert Member Joined Dec 30, 2015 Posts 1,967 Reaction score 4,267 Jun 23, 2024 #2 Naona bila hata kujua umeamua kunawasaidia kuwapa promo CHADEMA Binafsi sijaona hoja yako hapa zaidi ya kuwa unasumbuliwa na hofu na wivu tu Chombo kama hiki kisipokuwa na usajili au kibali unadhani kinawezaje vipi kukata anga la Tanzania bila mamlaka husika kujua na kuchukua hatua haraka? Jinga sana wewe comte
Naona bila hata kujua umeamua kunawasaidia kuwapa promo CHADEMA Binafsi sijaona hoja yako hapa zaidi ya kuwa unasumbuliwa na hofu na wivu tu Chombo kama hiki kisipokuwa na usajili au kibali unadhani kinawezaje vipi kukata anga la Tanzania bila mamlaka husika kujua na kuchukua hatua haraka? Jinga sana wewe comte
E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 24,977 Reaction score 23,799 Jun 23, 2024 #3 Mnapiga MAYOWE moto ndo unalipuka leo Loliondo Waso kimbunga kimepita mkipata hata kitogoji kimoja mfanye sherehe hapo Lumumba
Mnapiga MAYOWE moto ndo unalipuka leo Loliondo Waso kimbunga kimepita mkipata hata kitogoji kimoja mfanye sherehe hapo Lumumba
Nsanzagee JF-Expert Member Joined Jun 28, 2023 Posts 2,209 Reaction score 4,769 Jun 23, 2024 #4 Chadema songa songa songa bila hofu, mama yao mwepesi kuliko karatasi Hapendwi na havutii