The golden
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 1,382
- 2,582
Ni kawaida kwa binadamu kutafuta faraja pale anapoumizwa.
Katika vyama vya siasa watu huumizana sana na kuvurugana, wengine hufikia kiasi cha kutishiana maisha. Ikifika hali hiyo wengine hukimbia kwa jirani kutafuta faraja. Wapo ambao huwa hawarudi kabisa, wengine hurudi kama amani ikilejea kule kwao.
Swala hili si la vyama vya siasa tu, hata kwenye nchi, kuna watu hukimbia nchi zao kwa sababu za migogoro ya kisiasa, hali inapotulia nyumbani huamua kurudi wapo wengine wanaomua kuchukua uraia wa huko waliko. Hivyo basi hii ni kawaida kabisa wala msiogope.
Labda jambo la maana, msiwe wepesi wa kuwapa nafasi za uongozi hawa wanaokuja kutafuta faraja. Wapeni muda mrefu wa matazamio.
Katika vyama vya siasa watu huumizana sana na kuvurugana, wengine hufikia kiasi cha kutishiana maisha. Ikifika hali hiyo wengine hukimbia kwa jirani kutafuta faraja. Wapo ambao huwa hawarudi kabisa, wengine hurudi kama amani ikilejea kule kwao.
Swala hili si la vyama vya siasa tu, hata kwenye nchi, kuna watu hukimbia nchi zao kwa sababu za migogoro ya kisiasa, hali inapotulia nyumbani huamua kurudi wapo wengine wanaomua kuchukua uraia wa huko waliko. Hivyo basi hii ni kawaida kabisa wala msiogope.
Labda jambo la maana, msiwe wepesi wa kuwapa nafasi za uongozi hawa wanaokuja kutafuta faraja. Wapeni muda mrefu wa matazamio.