CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake ili ajenge chama, usidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake ili ajenge chama, usidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?
Mali gani alizouza ili kukijenga Chama?
Vipi kuhusu waliokufa, waliofilisika, waliopata ulemavu na wengineo?
 
Kwa hiyo awe Mwenyekiti wa Milele, au siyo?
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Unatoa taarifa au unakumbusha? Au ndp habari mpya?
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Yaani ccm mjue chadema hawadanganyiki
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adamu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Huu upuuzi peleka huko ccm

Wewe unamjua Sykes family na Rupia family enzi za kupigania uhuru

Alafu unajua Nini kilitokea baada ya uhuru
 
IMG_20241220_192742.jpg
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adamu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
SI MACHAWA MNASEMA LlSU ANAKUBALIKA SANA, MWAMBIE AANZISHE CHAMA AWE NA MSIGWA, BY 2025 AINGIE MZIGONI WA KITU CHA URAIS
 
Chadema ni taasisi ya umma, sio mali ya mtu/watu binafsi.

Kama unaumia sana kwa wanachama wenu wengi kumtaka asiendelee kuwa mwenyekiti, Basi mshauri aigeuze Chadema iwe Kampuni binafsi na aisajili kwa jina lake. Hapo ndipo anaweza kuamua kuendelea kuwa Kiongozi wa hiyo Kampuni hadi mwisho wa maisha yake.

Hata kama alijtoa kwa kiasi hicho unachodai, alifanya hivyo kwa utu wake kupenda kuona mageuzi ya kisiasa yanatokea ndani ya nchi hii. Waswahili wanasema, Tenda wema uende zako,usingoje shukrani. Historia itamkumbuka kwa wema na utu wake.
.
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adamu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Na waliopoteza wapendwa wao kwa kuuwawa kisa chama,wengine wapo magereza utasemaje? ,chadema ipo kwa umoja na nguvu ya pomoja ya wanachama wote wakiwemo viongozi
 
CHADEMA msimchukulie Mh Mbowe kirahisi, alijitoa sana sadaka kwa kuuza mali zake nyingi ili ajenge chama, msidhani CHADEMA imefika hapa ilipo kirahisi

Tundu Lisu ni kivuruge ni mwanasiasa mzuri sana lakini tatizo lake ana mdomo mrefu sana

Kuweni na Heshima na Adabu mnapomzungumzia Mbowe

Nani kati yenu yupo tayari kuuza mali zake kwaajili ya CHADEMA?

Kama hitaji lenu ni Mwenyekiti mpya basi muwe na heshima na adabu mnapomstaafisha Mh Mbowe sio kwa kiburi na dharau mnazotaka kuleta lasivyo itawagharimu
Wapambe toka CCM mnahangaika sana na kuonyesha kuwa mnamhofia sana Lissu.
 
Back
Top Bottom