R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Jul 22, 2024 #1 Achana na CCM, wateuane, watenguane. Chadema endelea na mikutano yenu. Fichua maovu ya CCM kama mlivyokazia kwa Nape. Nadhani kama siyo Chadema, Nape asingelitenguliwa. Erythrocyte
Achana na CCM, wateuane, watenguane. Chadema endelea na mikutano yenu. Fichua maovu ya CCM kama mlivyokazia kwa Nape. Nadhani kama siyo Chadema, Nape asingelitenguliwa. Erythrocyte
kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Jul 22, 2024 #2 Chadema walitoka kwenye reli kitamboo labda wewe umepitwa na wakati!
SYLLOGIST! JF-Expert Member Joined Dec 28, 2007 Posts 8,189 Reaction score 7,853 Jul 22, 2024 #3 Simpaka wawepo kwenye hiyo Reli basi. Itoshe, teua tengua hii inamsaidia Mbowe. The call for his resignation is deafening.
Simpaka wawepo kwenye hiyo Reli basi. Itoshe, teua tengua hii inamsaidia Mbowe. The call for his resignation is deafening.
T tripof JF-Expert Member Joined Apr 2, 2024 Posts 829 Reaction score 1,120 Jul 22, 2024 #4 Mama anataka haki na uhuru kwenye uchaguzi hiyo ndiyo meseji aliyoituma kwa Chama chake kwa utenguxi wa Nape
Mama anataka haki na uhuru kwenye uchaguzi hiyo ndiyo meseji aliyoituma kwa Chama chake kwa utenguxi wa Nape