J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Jan 11, 2025 #1 Chaguzi ZOTE za Chadema hugubikwa na Rushwa kubwa kubwa Sema tu this time wanufaika ni wachache ndio tunasikia haya makelele Chadema na Rushwa Sawa Uji na Mgonjwa Nawatakia Sabato Njema π
Chaguzi ZOTE za Chadema hugubikwa na Rushwa kubwa kubwa Sema tu this time wanufaika ni wachache ndio tunasikia haya makelele Chadema na Rushwa Sawa Uji na Mgonjwa Nawatakia Sabato Njema π
M Mpalakugenda JF-Expert Member Joined Jun 2, 2015 Posts 4,611 Reaction score 5,009 Jan 11, 2025 #2 Nenda sabato wewe
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jan 11, 2025 #3 Ngoja tuone... Cc: Mahondaw
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Jan 11, 2025 #4 johnthebaptist said: Chaguzi ZOTE za Chadema hugubikwa na Rushwa kubwa kubwa Sema tu this time wanufaika ni wachache ndio tunasikia haya makelele Chadema na Rushwa Sawa Uji na Mgonjwa Nawatakia Sabato Njema π Click to expand... Imbecile
johnthebaptist said: Chaguzi ZOTE za Chadema hugubikwa na Rushwa kubwa kubwa Sema tu this time wanufaika ni wachache ndio tunasikia haya makelele Chadema na Rushwa Sawa Uji na Mgonjwa Nawatakia Sabato Njema π Click to expand... Imbecile
M Missile of the Nation JF-Expert Member Joined May 24, 2018 Posts 15,101 Reaction score 56,054 Jan 11, 2025 #5 Swali zito sana hilo. Unajifanya kupinga hela za Abduli lakini Lowasa alivyocheua mpunga ulikaa kimya na kumnadi!
Swali zito sana hilo. Unajifanya kupinga hela za Abduli lakini Lowasa alivyocheua mpunga ulikaa kimya na kumnadi!
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Jan 11, 2025 #6 Ni nani aliyemleta Lowassa CHADEMA?! #Free Dr.Slaa
Masagala JF-Expert Member Joined Jan 28, 2017 Posts 2,278 Reaction score 3,960 Jan 11, 2025 #7 Mtoa mada tuko pamoja
Tayana-wog JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 24,844 Reaction score 29,126 Jan 11, 2025 #8 johnthebaptist said: Chaguzi ZOTE za Chadema hugubikwa na Rushwa kubwa kubwa Sema tu this time wanufaika ni wachache ndio tunasikia haya makelele Chadema na Rushwa Sawa Uji na Mgonjwa Nawatakia Sabato Njema π Click to expand... We nawe umezidi kuanzisha nyuzi Too much Tulia soma na maoni ya wengine
johnthebaptist said: Chaguzi ZOTE za Chadema hugubikwa na Rushwa kubwa kubwa Sema tu this time wanufaika ni wachache ndio tunasikia haya makelele Chadema na Rushwa Sawa Uji na Mgonjwa Nawatakia Sabato Njema π Click to expand... We nawe umezidi kuanzisha nyuzi Too much Tulia soma na maoni ya wengine