Mods naomba msiunganishe Uzi huu ubaki kama ulivyo. Natumaini hamjambo wana JF wenzangu.
Nilirudi kwenye hoja yangu ya msingi. Ni dhahiri kuwa kutokana na janga lililoikumba dunia na hatua zilizochukuliwa na kila nchi, hapa kwetu Tanzania hatua zilizochukuliwa na Rais wetu zimeonekana kumpandisha chati hata kama kulikuwa na mambo mengine mabaya juu yake. Anaonekana shujaa miongoni mwa Watanzania.
Kila mahali vijiweni na kwingineko ukipita na kuzungumzia suala la CORONA na hatua zilizochukuliwa na serikali wananchi wanapongeza sana na hasa wakiangalia na kusikia masaibu yanayowapata majirani zetu kutokana na mazuio mbalimali yaliyowekwa na serikali zao dhidi ya RAIA wao
Nafikiri kama kweli CHADEMA wana mpango wa kwenda Ikulu nawashauri watafute ajenda nyingine ambazo zinaonesha udhaifu wa serikali iliyoko madarakani la sivyo Ikulu kwao itakuwa ni ndoto
Kumbuka "Wakati ni mwalimu mzuri sana katika maisha ya mwanadamu "
Nilirudi kwenye hoja yangu ya msingi. Ni dhahiri kuwa kutokana na janga lililoikumba dunia na hatua zilizochukuliwa na kila nchi, hapa kwetu Tanzania hatua zilizochukuliwa na Rais wetu zimeonekana kumpandisha chati hata kama kulikuwa na mambo mengine mabaya juu yake. Anaonekana shujaa miongoni mwa Watanzania.
Kila mahali vijiweni na kwingineko ukipita na kuzungumzia suala la CORONA na hatua zilizochukuliwa na serikali wananchi wanapongeza sana na hasa wakiangalia na kusikia masaibu yanayowapata majirani zetu kutokana na mazuio mbalimali yaliyowekwa na serikali zao dhidi ya RAIA wao
Nafikiri kama kweli CHADEMA wana mpango wa kwenda Ikulu nawashauri watafute ajenda nyingine ambazo zinaonesha udhaifu wa serikali iliyoko madarakani la sivyo Ikulu kwao itakuwa ni ndoto
Kumbuka "Wakati ni mwalimu mzuri sana katika maisha ya mwanadamu "