Japo mimi sio Chadema ila Chadema itashiriki kikamilifu chaguzi zote kwasababu Tume ya Uchaguzi sasa sio Tume ile ile, Tume ya Uchaguzi sasa ni Tume Huru ya Uchaguzi.
P
Tume ya uchaguzi sasa ni KIRAKA KIPYA KWENYE VAZI KUUKUU, ......DIVAI MPYA KWENYE KIRIBA CHA ZAMANI
Kukiwa na free and fair election,kwa tume yoyote no matter inaitwaje kwa sasa, inaamua ku reflect will of the people, CCM inaanguka MISA YA kwanza tu, Kwenye Ubunge na Urais.
Kwa sasa JESHI la wanainchi linaweza kusimamia haki likiamua.
All in all Mama haitoshi, CCM 2025 lazima isimamishe mgombea Mwingine.
Huyu Mama atamaliza kuuza vitu vyote vya bara.
Watoto na wajukuu watapiga viboko makaburi kwa Ujinga walioufanya vizazi vilivyotangulia kushindwa kuzuia yafuatayo.
1.kuuzwa kwa bandari zetu Bara kwa njia ya MNADA ambao Bunge lilikuwa DALALI.
2.Kuuzwa kwa mbuga za wanyama.
3,Kuuzwa kwa uwanja wa ndege KIA.
NB: kumpa Kugombea ni kufanya jaribio la kijinga la KUMPA BARAKA ZA KUUZA MALI ZA BARA ZILIZOBAKI.
Shime WATANGANYIKA tuamke, Tanganyika kwanza vyama baadae.
🤔🤔🤔