johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiongozi mmoja wa CHADEMA anasema Kampeni na Uchaguzi ni vitu viwili tofauti kwani Wagombea Wengi hutumia kampeni kilaghai tamu tamu lakini wakishachaguliwa hawatimizi ahadi
Nakubaliana naye kwa 95% nikiwa mpiga kura wa Kawe Mbunge wetu ni Gwajima
5% ndio za hilo swali hapo juu.
Ahsanteni sana 😂🔥
Nakubaliana naye kwa 95% nikiwa mpiga kura wa Kawe Mbunge wetu ni Gwajima
5% ndio za hilo swali hapo juu.
Ahsanteni sana 😂🔥