CHADEMA muda upo upande wenu sana, hakikisheni mnaandaa maandamano tena na tena mpaka yafanyike kwa mafanikio

CHADEMA muda upo upande wenu sana, hakikisheni mnaandaa maandamano tena na tena mpaka yafanyike kwa mafanikio

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Salamu kwenu wanaCHADEMA

Nakupeni pole na kuwapa pole wabongo wenzangu kwa matendo ya utekwaji na mauaji ya wananchi wasio na hatia. Kwa kweli nchiyetu kwa sasa hali inatisha, ombea usiingie katika mikono ya hawa chinjachinja, wauaji ambao mikono yao imeloa damu.

Niwapeni pongezi kwa jitihada zenu za kuuonyesha umma na ulimwengu kuwa bongo kuna kuna vitendo vya kuuwawa watu na kuwatupa maporini.

1. Wamezuia maandamano, lakini wamewasaidieni kusambaza ujumbe wa ukatili wao dunia nzima

Ni kweli walisambaza maaskari jiji zima, wakiwa wamebeba silaha za moto, yote ni kutisha raia. Yaani muonekano wa jiji siku ya tarehe 23 ilikuwa utadhani kuna mapinduzi ya kijeshi hivi na "JUNTA" imeteka jiji na askari wao wamekaa kila kona ya jiji. Ilikuwa ni vitisho. Kiufupi ni picha iliyoonyesha udhaifu wa serikali inayodhani ina ridhaa ya watu, lakini inasambaza majeshi mitaani kutisha, kuogopesha raia eti wasiandamane, kitu ambacho ni cha kawaida katika nchi za demokrasia. Serikali dhaifu hujiegemeza kwa majeshi hata kwa mambo ya kuwajibika yanayohitaji kutekelezwa na viongozi wa kisiasa

2. Andaeni maandamano tena na tena mpaka yafanikiwe, Onyesheni peoples power kurudisha political detterance yenu.

Ndugu wanachadema, peoples power siyo lazima kulazimisha EVENT MOJA, bali ni kuwa RESILIENT (VING'ANGANIZI) mpaka jambo lenu litokee na lifanikiwe. Hawa wanaotegemea majeshi huwa wanajiandaa kwa TUKIO moja kulidhibiti, hawana uwezo wa kuzuia PROCESS inayojirudia kwa msisitizo.

Hawana resources za kukusanya askari kutoka nchi nzima na kuwarundika sehemu moja kila siku, kila wiki, kila mwezi. Na certainly hawana resources za kuzuia maandamano sehemu nyinginyingi kwa wakati mmoja. Kumbukeni, mkiacha kufanya maandamano mnatuma ujumbe wa unyonge, dharau na kejeli zitakazoathiri chama chenu zaidi kisiasa, na mnafungulia milango ya makada wenu kutekwa na kufanywa chochote.

Hebu kuweni ving'ang'anizi kama maji, yakiamua kupita hata kwenye mwamba yatahakikisha yanachimba na kuchimba mpaka njia ipatikane. Mkisitisha azma yenu ya kufanikisha hili jambo, basi mtakuwa mmepoteza "detterance ya kisiasa kwa kiwango kikubwa sana

3. Viongozi wa CHADEMA msiogope kukamatwa, kukamatwa kwenu ni tunu ya kisiasa kwenu na ni aibu kwao

Viongozi wa CHADEMA kama kuna zawadi ya kisiasa kwenu na kwa chama chenu ni kukamatwakamatwa na polisi. Kwanza inawaonyesha wananchi namna watesi wenu walivyo muflisi kisiasa, inajenga awareness na inyerest ya umma kujua kinachojiri na mnachopigania, dunia nzima inajua aina ya watawala tulio nao.

Kwa hiyo ni muhimu kuandaa maandamano mengine mengi kwa kujirudia rudia. Watesi hawawezi kupeleka askari kila mahali kila siku. Na hata wakifanya hivyo wanajichoresha. Na kadri wanavyojihoresha ndivyo grip yao ya mamlaka inavyolegea. Kwa hiyo viongozi wa CHADEMA hasa wakuu, msiwe "wazee wa BUSARA" bali wasumbueni hawa watesi mpaka waje na political agenda yenye mashiko, la sivyo watawapigesheni marktime sana.

4. Watesi wenu wako interested kusave face, ila wanajua wazi umma hauwataki

Hii strategy yao yote ya kupeleka majeshi mabarabarani na kuwatisha wananchi yote inalenga "kusave face" yaani kujionyesha kuwa wao wana nguvu, kwao hiyo ni faraja.Lakini wanajua wazi kuwa wananchi hawawakubali.

Wanatumia njia hii ya kuzima maandamano kijeshi ili kutuma meseji kuwa umma hauna interest na ajenda zenu. Wanajidanganya. Wanajua toka walivyopigwa kwenye uchaguzi wa 2015, ikawapelekea kuiba na kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 basi kitu pekee wanachobank on ni kutisha watu ili wakirudia kufanya yaleyale ya 2020 katika uchaguzi mkuu ujao basi wawe wameshauandaa umma kwa kuutia hofu kubwa ili uje kuogopa kufanya uprising kupitia ukatili unaofanywa systematic kuelekea ktk uchaguzi huo.

5. Msiishie kuandaa maandamano tu, ni muda muafaka kuanza kufundisha watu wenu civil disobedience

Hawa maaskari wanaopelekwa njiani kuwatisha watu wanalipwa mishahara kwa kodi zenu hizohizo, nendeni mkajifunze civil disobedience za naming and shaming, kajifunzeni namna ya kutumia mitandao kuwakera watesi. Watesi wenu kama kuna kitu wanakiogopa basi ni taswira ya heshima zao ambazo ni feki kuvurugwavurugwa, nendeni mkachimbue makorokocho yao ya hovyo myamwage wazi watu waone.

Tafuteni njia za kuwacheleweshea au kuwapunguzia au kuwanyima watesi wenu pesa wanazohitaji ili kuendesha maisha ya anasa kwa kisingizio cha pesa za kuendesha nchi. Kwa mfano mkiweka mgomo wa kunywa pombe kila siku fulani, hamtakufa, Mkitangaza kupunguza kuendesha magari yenu, mtawanyima watesi wenu pesa wanayoipata ktk mafuta. Kiufupi mkitarget kupunguza matumizi katika bidhaa zinazowaingizia pesa japo mara moja au mbili kwa mwezi athari yake itaonekana na lazima watesi watafeel pressure itakayowalzaimisha kukaa mezani kwa dhati

6. Mwisho, msiache kuzungumzia mauaji na utekwaji.

Hili ni doa kwa watesi wenu, Endeleeni kupiga kelele ili watu wawaogope hawa watesi, wajitenge nao, hivyo basi kelele zenu huenda zikasaidia waliobaki wasitekewe na kuuawa.

Soma Pia:
 
Maneno kuntu kabisa haya chadema wasiache kutangaza maandamano mengine wataonekana mafala yani ilibidi saiv wawe washatangaza maandamano mapya hadi wananchi tuone ni jambo la kawaida tushawishike kuingia barabarani.
 
Salamu kwenu wanaCHADEMA

Nakupeni pole na kuwapa pole wabongo wenzangu kwa matendo ya utekwaji na mauaji ya wananchi wasio na hatia. Kwa kweli nchiyetu kwa sasa hali inatisha, ombea usiingie katika mikono ya hawa chinjachinja, wauaji ambao mikono yao imeloa damu.

Niwapeni pongezi kwa jitihada zenu za kuuonyesha umma na ulimwengu kuwa bongo kuna kuna vitendo vya kuuwawa watu na kuwatupa maporini.

1. Wamezuia maandamano, lakini wamewasaidieni kusambaza ujumbe wa ukatili wao dunia nzima

Ni kweli walisambaza maaskari jiji zima, wakiwa wamebeba silaha za moto, yote ni kutisha raia. Yaani muonekano wa jiji siku ya tarehe 23 ilikuwa utadhani kuna mapinduzi ya kijeshi hivi na "JUNTA" imeteka jiji na askari wao wamekaa kila kona ya jiji. Ilikuwa ni vitisho. Kiufupi ni picha iliyoonyesha udhaifu wa serikali inayodhani ina ridhaa ya watu, lakini inasambaza majeshi mitaani kutisha, kuogopesha raia eti wasiandamane, kitu ambacho ni cha kawaida katika nchi za demokrasia. Serikali dhaifu hujiegemeza kwa majeshi hata kwa mambo ya kuwajibika yanayohitaji kutekelezwa na viongozi wa kisiasa

2. Andaeni maandamano tena na tena mpaka yafanikiwe, Onyesheni peoples power kurudisha political detterance yenu.

Ndugu wanachadema, peoples power siyo lazima kulazimisha EVENT MOJA, bali ni kuwa RESILIENT (VING'ANGANIZI) mpaka jambo lenu litokee na lifanikiwe. Hawa wanaotegemea majeshi huwa wanajiandaa kwa TUKIO moja kulidhibiti, hawana uwezo wa kuzuia PROCESS inayojirudia kwa msisitizo.

Hawana resources za kukusanya askari kutoka nchi nzima na kuwarundika sehemu moja kila siku, kila wiki, kila mwezi. Na certainly hawana resources za kuzuia maandamano sehemu nyinginyingi kwa wakati mmoja. Kumbukeni, mkiacha kufanya maandamano mnatuma ujumbe wa unyonge, dharau na kejeli zitakazoathiri chama chenu zaidi kisiasa, na mnafungulia milango ya makada wenu kutekwa na kufanywa chochote.

Hebu kuweni ving'ang'anizi kama maji, yakiamua kupita hata kwenye mwamba yatahakikisha yanachimba na kuchimba mpaka njia ipatikane. Mkisitisha azma yenu ya kufanikisha hili jambo, basi mtakuwa mmepoteza "detterance ya kisiasa kwa kiwango kikubwa sana

3. Viongozi wa CHADEMA msiogope kukamatwa, kukamatwa kwenu ni tunu ya kisiasa kwenu na ni aibu kwao

Viongozi wa CHADEMA kama kuna zawadi ya kisiasa kwenu na kwa chama chenu ni kukamatwakamatwa na polisi. Kwanza inawaonyesha wananchi namna watesi wenu walivyo muflisi kisiasa, inajenga awareness na inyerest ya umma kujua kinachojiri na mnachopigania, dunia nzima inajua aina ya watawala tulio nao.

Kwa hiyo ni muhimu kuandaa maandamano mengine mengi kwa kujirudia rudia. Watesi hawawezi kupeleka askari kila mahali kila siku. Na hata wakifanya hivyo wanajichoresha. Na kadri wanavyojihoresha ndivyo grip yao ya mamlaka inavyolegea. Kwa hiyo viongozi wa CHADEMA hasa wakuu, msiwe "wazee wa BUSARA" bali wasumbueni hawa watesi mpaka waje na political agenda yenye mashiko, la sivyo watawapigesheni marktime sana.

4. Watesi wenu wako interested kusave face, ila wanajua wazi umma hauwataki

Hii strategy yao yote ya kupeleka majeshi mabarabarani na kuwatisha wananchi yote inalenga "kusave face" yaani kujionyesha kuwa wao wana nguvu, kwao hiyo ni faraja.Lakini wanajua wazi kuwa wananchi hawawakubali.

Wanatumia njia hii ya kuzima maandamano kijeshi ili kutuma meseji kuwa umma hauna interest na ajenda zenu. Wanajidanganya. Wanajua toka walivyopigwa kwenye uchaguzi wa 2015, ikawapelekea kuiba na kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 basi kitu pekee wanachobank on ni kutisha watu ili wakirudia kufanya yaleyale ya 2020 katika uchaguzi mkuu ujao basi wawe wameshauandaa umma kwa kuutia hofu kubwa ili uje kuogopa kufanya uprising kupitia ukatili unaofanywa systematic kuelekea ktk uchaguzi huo.

5. Msiishie kuandaa maandamano tu, ni muda muafaka kuanza kufundisha watu wenu civil disobedience

Hawa maaskari wanaopelekwa njiani kuwatisha watu wanalipwa mishahara kwa kodi zenu hizohizo, nendeni mkajifunze civil disobedience za naming and shaming, kajifunzeni namna ya kutumia mitandao kuwakera watesi. Watesi wenu kama kuna kitu wanakiogopa basi ni taswira ya heshima zao ambazo ni feki kuvurugwavurugwa, nendeni mkachimbue makorokocho yao ya hovyo myamwage wazi watu waone.

Tafuteni njia za kuwacheleweshea au kuwapunguzia au kuwanyima watesi wenu pesa wanazohitaji ili kuendesha maisha ya anasa kwa kisingizio cha pesa za kuendesha nchi. Kwa mfano mkiweka mgomo wa kunywa pombe kila siku fulani, hamtakufa, Mkitangaza kupunguza kuendesha magari yenu, mtawanyima watesi wenu pesa wanayoipata ktk mafuta. Kiufupi mkitarget kupunguza matumizi katika bidhaa zinazowaingizia pesa japo mara moja au mbili kwa mwezi athari yake itaonekana na lazima watesi watafeel pressure itakayowalzaimisha kukaa mezani kwa dhati

6. Mwisho, msiache kuzungumzia mauaji na utekwaji.

Hili ni doa kwa watesi wenu, Endeleeni kupiga kelele ili watu wawaogope hawa watesi, wajitenge nao, hivyo basi kelele zenu huenda zikasaidia waliobaki wasitekewe na kuuawa.

Soma Pia:

Badala ya andaeni, kwenu, ... nk ingekuwa tuandae, kwetu, ... nk; ingekuwa tamu sana.

Jukumu la ikombozi wa nchi hii asipewe mtu wala aslilaumiwe mtu yeyote kwa kutokujihusisha.
 
Ewaaaaaa! Ushauri bora kabisa.

Samia hapendwi na intelijensia imethibitisha hilo, ndiyo maana dola imetumia nguvu kubwa kuyazima maandamano ya 23 September.

Samia must GO!
Samia must quit!
Samia must leave!
Or else, she will be ousted.
 
Salamu kwenu wanaCHADEMA

Nakupeni pole na kuwapa pole wabongo wenzangu kwa matendo ya utekwaji na mauaji ya wananchi wasio na hatia. Kwa kweli nchiyetu kwa sasa hali inatisha, ombea usiingie katika mikono ya hawa chinjachinja, wauaji ambao mikono yao imeloa damu.

Niwapeni pongezi kwa jitihada zenu za kuuonyesha umma na ulimwengu kuwa bongo kuna kuna vitendo vya kuuwawa watu na kuwatupa maporini.

1. Wamezuia maandamano, lakini wamewasaidieni kusambaza ujumbe wa ukatili wao dunia nzima

Ni kweli walisambaza maaskari jiji zima, wakiwa wamebeba silaha za moto, yote ni kutisha raia. Yaani muonekano wa jiji siku ya tarehe 23 ilikuwa utadhani kuna mapinduzi ya kijeshi hivi na "JUNTA" imeteka jiji na askari wao wamekaa kila kona ya jiji. Ilikuwa ni vitisho. Kiufupi ni picha iliyoonyesha udhaifu wa serikali inayodhani ina ridhaa ya watu, lakini inasambaza majeshi mitaani kutisha, kuogopesha raia eti wasiandamane, kitu ambacho ni cha kawaida katika nchi za demokrasia. Serikali dhaifu hujiegemeza kwa majeshi hata kwa mambo ya kuwajibika yanayohitaji kutekelezwa na viongozi wa kisiasa

2. Andaeni maandamano tena na tena mpaka yafanikiwe, Onyesheni peoples power kurudisha political detterance yenu.

Ndugu wanachadema, peoples power siyo lazima kulazimisha EVENT MOJA, bali ni kuwa RESILIENT (VING'ANGANIZI) mpaka jambo lenu litokee na lifanikiwe. Hawa wanaotegemea majeshi huwa wanajiandaa kwa TUKIO moja kulidhibiti, hawana uwezo wa kuzuia PROCESS inayojirudia kwa msisitizo.

Hawana resources za kukusanya askari kutoka nchi nzima na kuwarundika sehemu moja kila siku, kila wiki, kila mwezi. Na certainly hawana resources za kuzuia maandamano sehemu nyinginyingi kwa wakati mmoja. Kumbukeni, mkiacha kufanya maandamano mnatuma ujumbe wa unyonge, dharau na kejeli zitakazoathiri chama chenu zaidi kisiasa, na mnafungulia milango ya makada wenu kutekwa na kufanywa chochote.

Hebu kuweni ving'ang'anizi kama maji, yakiamua kupita hata kwenye mwamba yatahakikisha yanachimba na kuchimba mpaka njia ipatikane. Mkisitisha azma yenu ya kufanikisha hili jambo, basi mtakuwa mmepoteza "detterance ya kisiasa kwa kiwango kikubwa sana

3. Viongozi wa CHADEMA msiogope kukamatwa, kukamatwa kwenu ni tunu ya kisiasa kwenu na ni aibu kwao

Viongozi wa CHADEMA kama kuna zawadi ya kisiasa kwenu na kwa chama chenu ni kukamatwakamatwa na polisi. Kwanza inawaonyesha wananchi namna watesi wenu walivyo muflisi kisiasa, inajenga awareness na inyerest ya umma kujua kinachojiri na mnachopigania, dunia nzima inajua aina ya watawala tulio nao.

Kwa hiyo ni muhimu kuandaa maandamano mengine mengi kwa kujirudia rudia. Watesi hawawezi kupeleka askari kila mahali kila siku. Na hata wakifanya hivyo wanajichoresha. Na kadri wanavyojihoresha ndivyo grip yao ya mamlaka inavyolegea. Kwa hiyo viongozi wa CHADEMA hasa wakuu, msiwe "wazee wa BUSARA" bali wasumbueni hawa watesi mpaka waje na political agenda yenye mashiko, la sivyo watawapigesheni marktime sana.

4. Watesi wenu wako interested kusave face, ila wanajua wazi umma hauwataki

Hii strategy yao yote ya kupeleka majeshi mabarabarani na kuwatisha wananchi yote inalenga "kusave face" yaani kujionyesha kuwa wao wana nguvu, kwao hiyo ni faraja.Lakini wanajua wazi kuwa wananchi hawawakubali.

Wanatumia njia hii ya kuzima maandamano kijeshi ili kutuma meseji kuwa umma hauna interest na ajenda zenu. Wanajidanganya. Wanajua toka walivyopigwa kwenye uchaguzi wa 2015, ikawapelekea kuiba na kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 basi kitu pekee wanachobank on ni kutisha watu ili wakirudia kufanya yaleyale ya 2020 katika uchaguzi mkuu ujao basi wawe wameshauandaa umma kwa kuutia hofu kubwa ili uje kuogopa kufanya uprising kupitia ukatili unaofanywa systematic kuelekea ktk uchaguzi huo.

5. Msiishie kuandaa maandamano tu, ni muda muafaka kuanza kufundisha watu wenu civil disobedience

Hawa maaskari wanaopelekwa njiani kuwatisha watu wanalipwa mishahara kwa kodi zenu hizohizo, nendeni mkajifunze civil disobedience za naming and shaming, kajifunzeni namna ya kutumia mitandao kuwakera watesi. Watesi wenu kama kuna kitu wanakiogopa basi ni taswira ya heshima zao ambazo ni feki kuvurugwavurugwa, nendeni mkachimbue makorokocho yao ya hovyo myamwage wazi watu waone.

Tafuteni njia za kuwacheleweshea au kuwapunguzia au kuwanyima watesi wenu pesa wanazohitaji ili kuendesha maisha ya anasa kwa kisingizio cha pesa za kuendesha nchi. Kwa mfano mkiweka mgomo wa kunywa pombe kila siku fulani, hamtakufa, Mkitangaza kupunguza kuendesha magari yenu, mtawanyima watesi wenu pesa wanayoipata ktk mafuta. Kiufupi mkitarget kupunguza matumizi katika bidhaa zinazowaingizia pesa japo mara moja au mbili kwa mwezi athari yake itaonekana na lazima watesi watafeel pressure itakayowalzaimisha kukaa mezani kwa dhati

6. Mwisho, msiache kuzungumzia mauaji na utekwaji.

Hili ni doa kwa watesi wenu, Endeleeni kupiga kelele ili watu wawaogope hawa watesi, wajitenge nao, hivyo basi kelele zenu huenda zikasaidia waliobaki wasitekewe na kuuawa.

Soma Pia:
Sahihi
 
Keyboard warriors acheni kuendelea kuwaaibisha wenzenu aibu waliyovuna inatosha. Hakuna mtanzania wa kuandamana sababu ya Chadema chama cha kikabila.
 
Salamu kwenu wanaCHADEMA

Nakupeni pole na kuwapa pole wabongo wenzangu kwa matendo ya utekwaji na mauaji ya wananchi wasio na hatia. Kwa kweli nchiyetu kwa sasa hali inatisha, ombea usiingie katika mikono ya hawa chinjachinja, wauaji ambao mikono yao imeloa damu.

Niwapeni pongezi kwa jitihada zenu za kuuonyesha umma na ulimwengu kuwa bongo kuna kuna vitendo vya kuuwawa watu na kuwatupa maporini.

1. Wamezuia maandamano, lakini wamewasaidieni kusambaza ujumbe wa ukatili wao dunia nzima

Ni kweli walisambaza maaskari jiji zima, wakiwa wamebeba silaha za moto, yote ni kutisha raia. Yaani muonekano wa jiji siku ya tarehe 23 ilikuwa utadhani kuna mapinduzi ya kijeshi hivi na "JUNTA" imeteka jiji na askari wao wamekaa kila kona ya jiji. Ilikuwa ni vitisho. Kiufupi ni picha iliyoonyesha udhaifu wa serikali inayodhani ina ridhaa ya watu, lakini inasambaza majeshi mitaani kutisha, kuogopesha raia eti wasiandamane, kitu ambacho ni cha kawaida katika nchi za demokrasia. Serikali dhaifu hujiegemeza kwa majeshi hata kwa mambo ya kuwajibika yanayohitaji kutekelezwa na viongozi wa kisiasa

2. Andaeni maandamano tena na tena mpaka yafanikiwe, Onyesheni peoples power kurudisha political detterance yenu.

Ndugu wanachadema, peoples power siyo lazima kulazimisha EVENT MOJA, bali ni kuwa RESILIENT (VING'ANGANIZI) mpaka jambo lenu litokee na lifanikiwe. Hawa wanaotegemea majeshi huwa wanajiandaa kwa TUKIO moja kulidhibiti, hawana uwezo wa kuzuia PROCESS inayojirudia kwa msisitizo.

Hawana resources za kukusanya askari kutoka nchi nzima na kuwarundika sehemu moja kila siku, kila wiki, kila mwezi. Na certainly hawana resources za kuzuia maandamano sehemu nyinginyingi kwa wakati mmoja. Kumbukeni, mkiacha kufanya maandamano mnatuma ujumbe wa unyonge, dharau na kejeli zitakazoathiri chama chenu zaidi kisiasa, na mnafungulia milango ya makada wenu kutekwa na kufanywa chochote.

Hebu kuweni ving'ang'anizi kama maji, yakiamua kupita hata kwenye mwamba yatahakikisha yanachimba na kuchimba mpaka njia ipatikane. Mkisitisha azma yenu ya kufanikisha hili jambo, basi mtakuwa mmepoteza "detterance ya kisiasa kwa kiwango kikubwa sana

3. Viongozi wa CHADEMA msiogope kukamatwa, kukamatwa kwenu ni tunu ya kisiasa kwenu na ni aibu kwao

Viongozi wa CHADEMA kama kuna zawadi ya kisiasa kwenu na kwa chama chenu ni kukamatwakamatwa na polisi. Kwanza inawaonyesha wananchi namna watesi wenu walivyo muflisi kisiasa, inajenga awareness na inyerest ya umma kujua kinachojiri na mnachopigania, dunia nzima inajua aina ya watawala tulio nao.

Kwa hiyo ni muhimu kuandaa maandamano mengine mengi kwa kujirudia rudia. Watesi hawawezi kupeleka askari kila mahali kila siku. Na hata wakifanya hivyo wanajichoresha. Na kadri wanavyojihoresha ndivyo grip yao ya mamlaka inavyolegea. Kwa hiyo viongozi wa CHADEMA hasa wakuu, msiwe "wazee wa BUSARA" bali wasumbueni hawa watesi mpaka waje na political agenda yenye mashiko, la sivyo watawapigesheni marktime sana.

4. Watesi wenu wako interested kusave face, ila wanajua wazi umma hauwataki

Hii strategy yao yote ya kupeleka majeshi mabarabarani na kuwatisha wananchi yote inalenga "kusave face" yaani kujionyesha kuwa wao wana nguvu, kwao hiyo ni faraja.Lakini wanajua wazi kuwa wananchi hawawakubali.

Wanatumia njia hii ya kuzima maandamano kijeshi ili kutuma meseji kuwa umma hauna interest na ajenda zenu. Wanajidanganya. Wanajua toka walivyopigwa kwenye uchaguzi wa 2015, ikawapelekea kuiba na kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020 basi kitu pekee wanachobank on ni kutisha watu ili wakirudia kufanya yaleyale ya 2020 katika uchaguzi mkuu ujao basi wawe wameshauandaa umma kwa kuutia hofu kubwa ili uje kuogopa kufanya uprising kupitia ukatili unaofanywa systematic kuelekea ktk uchaguzi huo.

5. Msiishie kuandaa maandamano tu, ni muda muafaka kuanza kufundisha watu wenu civil disobedience

Hawa maaskari wanaopelekwa njiani kuwatisha watu wanalipwa mishahara kwa kodi zenu hizohizo, nendeni mkajifunze civil disobedience za naming and shaming, kajifunzeni namna ya kutumia mitandao kuwakera watesi. Watesi wenu kama kuna kitu wanakiogopa basi ni taswira ya heshima zao ambazo ni feki kuvurugwavurugwa, nendeni mkachimbue makorokocho yao ya hovyo myamwage wazi watu waone.

Tafuteni njia za kuwacheleweshea au kuwapunguzia au kuwanyima watesi wenu pesa wanazohitaji ili kuendesha maisha ya anasa kwa kisingizio cha pesa za kuendesha nchi. Kwa mfano mkiweka mgomo wa kunywa pombe kila siku fulani, hamtakufa, Mkitangaza kupunguza kuendesha magari yenu, mtawanyima watesi wenu pesa wanayoipata ktk mafuta. Kiufupi mkitarget kupunguza matumizi katika bidhaa zinazowaingizia pesa japo mara moja au mbili kwa mwezi athari yake itaonekana na lazima watesi watafeel pressure itakayowalzaimisha kukaa mezani kwa dhati

6. Mwisho, msiache kuzungumzia mauaji na utekwaji.

Hili ni doa kwa watesi wenu, Endeleeni kupiga kelele ili watu wawaogope hawa watesi, wajitenge nao, hivyo basi kelele zenu huenda zikasaidia waliobaki wasitekewe na kuuawa.

Soma Pia:
Binafsi naona maandamano ya Chadema yamefanikiwa kwa sababu lengo la maandamano ni kupeleka ujumbe kwa hadhira iliyokusudiwa. Na ujumbe ulikuwa wazi sana katika muktadha huu: 1) wanasiasa wasio'armed' wanadhibitiwa na askari wengi sana walio'armed'. 2) Dunia nzima (hadhira kubwa) imeona, badala ya mambo kuishia ndani ya mipaka yetu. Kwa hiyo, watu wanaodhani maandamano yamefeli ni wale wanaohitaji kuona idadi kubwa ya waandamaji, lakini kwa upande wa ujumbe umefika na kama unakumbuka kudhibitiwa kupita kiasi ni moja ya malalamiko ambayo Chadema wamekuwa wakidai na ndicho kilichoonekana pia. Mtu aliyetegemea watu wengi kujitokeza katika mazingira ya siku hiyo nadhani alitaka muujiza utendeke. Hao watu wengi wangekusanyika/wangeanzia wapi? Nani angeruhusu wakusanyike na waanze maandamano? Wangepita barabara ipi? Kwa hiyo, unaona tunataka mambo ambayo wewe na mimi pia tungeshindwa kuyafanya kwa sababu ya kukutana na nguvu ya udhibiti.
 
Ewaaaaaa! Ushauri bora kabisa.

Samia hapendwi na intelijensia imethibitisha hilo, ndiyo maana dola imetumia nguvu kubwa kuyazima maandamano ya 23 September.

Samia must GO!
Samia must quit!
Samia must leave!
Or else, she will be ousted.
Haya maandishi ni Bora utafute kispika upite mtaa mmoja katikati ya Jiji au mji unaoishi uyatamke ili uonyeshe utayari wako.
Sio kujificha huku JF
 
Binafsi naona maandamano ya Chadema yamefanikiwa kwa sababu lengo la maandamano ni kupeleka ujumbe kwa hadhira iliyokusudiwa. Na ujumbe ulikuwa wazi sana katika muktadha huu: 1) wanasiasa wasio'armed' wanadhibitiwa na askari wengi sana walio'armed'. 2) Dunia nzima (hadhira kubwa) imeona, badala ya mambo kuishia ndani ya mipaka yetu. Kwa hiyo, watu wanaodhani maandamano yamefeli ni wale wanaohitaji kuona idadi kubwa ya waandamaji, lakini kwa upande wa ujumbe umefika na kama unakumbuka kudhibitiwa kupita kiasi ni moja ya malalamiko ambayo Chadema wamekuwa wakidai na ndicho kilichoonekana pia. Mtu aliyetegemea watu wengi kujitokeza katika mazingira ya siku hiyo nadhani alitaka muujiza utendeke. Hao watu wengi wangekusanyika/wangeanzia wapi? Nani angeruhusu wakusanyike na waanze maandamano? Wangepita barabara ipi? Kwa hiyo, unaona tunataka mambo ambayo wewe na mimi pia tungeshindwa kuyafanya kwa sababu ya kukutana na nguvu ya udhibiti.

Naunga mkono hoja.

Kurandaranda kwa majeshi barabarani ili kukingia kifua wauaji na watekaji kumewatia aibu wauaji isiyo ndogo
 
Back
Top Bottom