CHADEMA mumuombe msamaha Yusuph Manji ama sivyo atawashtaki

CHADEMA mumuombe msamaha Yusuph Manji ama sivyo atawashtaki

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.

Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.

Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.

Je, hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
 
Makonda ndiyo alimdanganya
Ndiye aliyetoa List Of Shame na Mafisadi Papa? Kumbe Chadema wapumbavuh hivi. Makonda anakuwa CCM anawapa material ya hovyo kumdanganya Magufuli mnakubali mnayatangaza
 
Kweli maana chadema ndio wanaendesha ofisi ya takikuru na DPP na mahakama zote ziko chini ya chadema
Nadhani ulikuwa bado kuzaliwa au mdogo wakati wa List of Shame na Mafisadi Papa. Ninyi wavulana wa miaka hii hamjajua haya mambo....😁😁😁😁
 
Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.

Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.

Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.

Je hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
Mkuu kwa hii mada utapokea chochote leo kweli? Au ni nyongeza tu umetoa
 
Back
Top Bottom