Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Basi Magufuli hakuwa makini na maamuzi yake. alikuwa na vyombo vyote vya usalama chini yake. kwann hakuvitumia kuchunguza kwanza? au na yeye alikurupuka?Chadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.
Ndo walimchochea Magufuli amkamate kwa "uhujumu uchumi", wakamshauri Magufuli aagize manji apimwe mkojo kutwa mara 3 kwa siku 70!, πππChadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.
Basi Magufuli hakuwa makini na maamuzi yake. alikuwa na vyombo vyote vya usalama chini yake. kwann hakuvitumia kuchunguza kwanza? au na yeye alikurupuka?
No hakufanya kwa nafasi yake, alikuwa mzembe kuamini chadema badala ya vyombo vya usalama. Alikuwa mzembeYeye alitimiza kwa nafasi yake. Na Chadema wamwombe msamaha Manji kwa kumsingizia. Kuwa ni Fisadi na Mhujumu Uchumi. Kama ambavyo walimsingizia Lowassa.
Manji hana chuki na ChademaKwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.
Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.
Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.
Je, hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
Naona yule aliyemuhusisha na biashara ileππππππ
Wewe ni wakili wa Manji mkuu? Kama alichafuliwa kwanini hakwenda Mahakamani kuishtaki CHADEMA?Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.
Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.
Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.
Je, hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
Magufuli alikuwa Jaji akadanganywa in the Court? mbona una uelewa mdogo sana wewe?Chadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.
Kwenye list of shame 2012 na Yusuph Manji mlimtaja. Mkaja mtaja pia kuwa ni Fisadi Papa.
Mlihusika sana kumchafua mfanyabiashara wa watu. Mkahusisha na Madawa ya kulevya.
Mwaka 2015-17 (kama sikosei) ikaja kuonekana kuwa hakuwa fisadi wala hakuwa anahusika na hizo biznez kwa maelezo yenu wenyewe. Na sasa amerudi kweli mnasema alionewa muwekezaji huyu mahiri mzalendo.
Je, hamuoni kuna haja ya kumuomba msamaha Mwekezaji wetu Mzalendo na kuanza msafisha na zile kashfa zote ambazo mlimsingizia mfanyabiashara wa watu?
Bro uzi huu leo umekuendea kombo, hapa ni mwendo fumbafumbaMakonda ndiyo alimdanganya
Sawa mkuuBro uzi huu leo umekuendea kombo, hapa ni mwendo fumbafumba
Jiwe alikuwa anafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA hivyo hakuwa na namna bali kumfilisi Manji kama alivyoamrishwa na hao CHADEMA.Chadema ndiyo waliomdanganya Magufuli kuwa Manji ni fisadi hawa ndo wa kulaumiwa. Magufuli alikosea sana kufikiria Manji ni Fisadi papa kama Chadema walivyotaka aminisha nchi.
Halafu chadema wakaja tena kuwa watetezi wa Manji? Hawa jamaa hawaeleweki kabisa.Jiwe alikuwa anafanya kazi kwa maelekezo ya CHADEMA hivyo hakuwa na namna bali kumfilisi Manji kama alivyoamrishwa na hao CHADEMA.