Pre GE2025 CHADEMA Mwanza kuandamana kesho Februari 19, 2025 hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa kupinga mauaji na utekaji wa viongozi wao

Pre GE2025 CHADEMA Mwanza kuandamana kesho Februari 19, 2025 hadi ofisi ya Mkuu wa Mkoa kupinga mauaji na utekaji wa viongozi wao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Victoria kimekusudia kufanya maandamano ya amani kwenda kukutana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda kushinikiza kutoweka kwa Katibu wa Baraza la Vijana wa chama hicho Mkoa wa Mwanza Amani Manengelo.

Akizungumza leo Februari 18, 2025 na waandishi wa habari Katibu wa CHADEMA Kanda ya Victoria, Zakaria Obad amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kujitokeza kwa wingi katika maandamano hayo ambayo yanatarajia kuanza saa mbili asubuhi.

 
KIBALI wamepewa na police?
Maandamano hayahitaji kibali wameshatoa sababu ya kuandamana , polisi wanatakiwa kuwepo kuwapa ulinzi waandamanaji.

Ila kwa Tanzania kwakuwa polisi ni tawi la CCM watataka kuzuia maandamano na kusema wana taarifa za kiintelijensia juu ya uwepo wa viashiria vya uvunjifu wa amani ila maandamano ya kusherekea birthday ya mama Abdul polisi wapo full time na bunduki zao.
IMG_20250127_193449.jpg
IMG_20250127_193446.jpg
 
Barabara zipo.kwa ajili ya shughuli za kiuchumi sio kwa ajili ya maandamano

Urakayeandamaba andamana at your.own risk

Hata ukikamatwa hao hawatakuja hata kukukuwekea dhamana utaumia wewe na ndiugu zako tu
 
Maandamano hayahitaji kibali wameshatoa sababu ya kuandamana , polisi wanatakiwa kuwepo kuwapa ulinzi waandamanaji.

Ila kwa Tanzania kwakuwa polisi ni tawi la CCM watataka kuzuia maandamano na kusema wana taarifa za kiintelijensia juu ya uwepo wa viashiria vya uvunjifu wa amani ila maandamano ya kusherekea birthday ya mama Abdul polisi wapo full time na bunduki zao.View attachment 3240756View attachment 3240757
Fanya Fujo Uone
 
Ila hii nchi ngoja tu ninyamaze nisije kutukana nikaonekana wa hovyo, hivi birthday ya Rais watu nao wanaandamana kweli? Inasikitisha
Maandamano hayahitaji kibali wameshatoa sababu ya kuandamana , polisi wanatakiwa kuwepo kuwapa ulinzi waandamanaji.

Ila kwa Tanzania kwakuwa polisi ni tawi la CCM watataka kuzuia maandamano na kusema wana taarifa za kiintelijensia juu ya uwepo wa viashiria vya uvunjifu wa amani ila maandamano ya kusherekea birthday ya mama Abdul polisi wapo full time na bunduki zao.View attachment 3240756View attachment 3240757
 
Maandamano hayahitaji kibali wameshatoa sababu ya kuandamana , polisi wanatakiwa kuwepo kuwapa ulinzi waandamanaji.
Kama wataandamana porini labda

Lakini kama ni kwenye barabara hizi ambazo zimejengwa kwa ajili ya shughuli za kiuchumi hamna

Hizo barabara kwa sheria za usalama barabarani kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge ni kwa ajili ya magari sio kwa watembea kwa miguu au waandamanaji
 
Kama wataandamana porini labda

Lakini kama ni kwenye barabara hizi ambazo zimejrngwa kwa ajili ya shughuli za kiuchumi hamna

Hizo barabara kwa sheria za usalama barabarani kwa mujibu wa sheria iliyopitishwa na bunge ni kwa ajili ya magari sio kwa watembea kwa miguu au waandamanaji
Hao walioandamana kwenye birthday ya mama Abdul walipita angani?
IMG_20250127_193453.jpg
 
Wamesema wapi wanaenda kufanya fujo?

Yaani watu kuandamana kupinga jambo fulani wakiwa na simu , maji ya kunywa na mabango hiyo ni fujo?
Kuzuia wenye magari kutumia barabara kisa maandamano ni fujo
 
Barabara zipo.kwa ajili ya shughuli za kiuchumi sio kwa ajili ya maandamano

Urakayeandamaba andamana at your.own risk

Hata ukikamatwa hao hawatakuja hata kukukuwekea dhamana utaumia wewe na ndiugu zako tu
Basi mrudisheni kijana wa watu akiwa hai. Acheni ushenzi
 
Hongera sana Wananchi na Chadema Mwanza. Tuseme sasa imetosha. Huu uonevu umezidi kwa kweli.
 
Kuzuia wenye magari kutumia barabara kisa maandamano ni fujo
Wapi wamesema watazuia magari?

Misafara ya viongozi inayosimamisha shughuli za kiuchumi za raia kwa masaa mengi tu mbona hamjawahi kukemea , walau Philipo Mpango pekeyake ndio aliwahi kusema wazi hapendezwi wengine wanafurahia watu kusimamishwa saa 3-4 kisa kiongozi anapita.
 
siku a
Barabara zipo.kwa ajili ya shughuli za kiuchumi sio kwa ajili ya maandamano

Urakayeandamaba andamana at your.own risk

Hata ukikamatwa hao hawatakuja hata kukukuwekea dhamana utaumia wewe na ndiugu zako tu
siku akitekwa mwanao ndio utajua machungu wa matendo haya ya utekaji!
 
Hongera sana Wananchi na Chadema Mwanza. Tuseme sasa imetosha. Huu uonevu umezidi kwa kweli.
Hizi hoja za kuzua bila ushahidi na kutuhumu taasisi za serikali bila chembe ya ushahidi FFU wakiwavunja miguu msije kulia lia humu

Nchi inaendeshwa kwa kuzingatia Sheria
Mwenye ushahidi aende mahakamani sio barabarani
 
Back
Top Bottom