Chadema na ACT Wakati mnakunywa Juice na Samosa kwenye Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara na Maridhiano mlilisema hili la " No Reforms No Election"?

Chadema na ACT Wakati mnakunywa Juice na Samosa kwenye Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara na Maridhiano mlilisema hili la " No Reforms No Election"?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ni vema Wananchi wakafahamishwa na Addo Shaibu wa ACT wazalendo bajeti ya Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara ilikuwa shilingi ngapi na maazimio yalikuwa ni nini

Na J J Mnyika atueleze kilichojiri kwenye Maridhiano ni nini na bajeti ya Maridhiano ilikuwa Bei Gani ukiondoa lile Jengo la HQ ya Chadema walilonunuliwa pale Mikocheni

Watanzania siyo Wajinga wa kuingia Kibwege Bwege kwenye huo Mtego wenu wa No reforms no election

Ahsanteni sana
 
Ni vema Wananchi wakafahamishwa na Addo Shaibu wa ACT wazalendo bajeti ya Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara ilikuwa shilingi ngapi na maazimio yalikuwa ni nini

Na J J Mnyika atueleze kilichojiri kwenye Maridhiano ni nini na bajeti ya Maridhiano ilikuwa Bei Gani ukiondoa lile Jengo la HQ ya Chadema walilonunuliwa pale Mikocheni

Watanzania siyo Wajinga wa kuingia Kibwege Bwege kwenye huo Mtego wenu wa No reforms no election

Ahsanteni sana
hiyo inaitwa,
Choko Mchokoe Mchokoe Pweza Binadamu Humuwezi 🐒
 
Ni vema Wananchi wakafahamishwa na Addo Shaibu wa ACT wazalendo bajeti ya Kikosi Kazi Cha Prof Mkandara ilikuwa shilingi ngapi na maazimio yalikuwa ni nini

Na J J Mnyika atueleze kilichojiri kwenye Maridhiano ni nini na bajeti ya Maridhiano ilikuwa Bei Gani ukiondoa lile Jengo la HQ ya Chadema walilonunuliwa pale Mikocheni

Watanzania siyo Wajinga wa kuingia Kibwege Bwege kwenye huo Mtego wenu wa No reforms no election

Ahsanteni sana

Humbwa
 
Kuna ADC mnapambana nao kwenye uchaguzi kwani lazma chadema mbona nmaforce sana mambo

Chadema ishatoa msimamo wake
Na tz kuna vyama vya upinzani zaidi ya 15 si mfanye uchaguzi na ivyo vingne
 
Back
Top Bottom