johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.
Wagombea wakuu Tundu Lisu na Bernad Membe na ikiwexekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.
Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Mdahalo ni kwa washirika wa upinzani bwashee!Kwann hutaki mwenyekigoda wa chama chakavu awepo bwashee?
Wamuongeze na jiwe na huo mdaharo uwe wa lugha ya kizungu[emoji23][emoji23][emoji23]Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.
Wagombea wakuu Tundu Lisu na Bernad Membe na ikiwexekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.
Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Labda kila mgombea aruhusiwe kuzungumza kwa kilugha chakeKwann hutaki mwenyekigoda wa chama chakavu awepo bwashee?
Mdahalo ni kwa washirika wa upinzani bwashee!
Huo mdaharo na mwenyekiti wa ccm awepo na masharti ya mdaharo ni lazima lugha iwe ni kizungu tuNakuunga mkono Yohana Mbatizaji.
Daaaaa jamaa ataenda mbochi bila kupendaTL na Jpm
mbwembwe hatutaki
Over
Kweli CCM madish yameyumba sasa upinzani kwa upinzani mdahalo wa nini?Kuelekea ushirikiano wa kusimamisha mgombea mmoja wa upinzani napendekeza pawepo na mdahalo wa wagombea ili wapiga kura tuwstathmini.
Wagombea wakuu Tundu Lisu na Bernad Membe na ikiwexekana ashirikishwe na mzee Hashimu Rungwe Spunda.
Hii itasaidia kuwaelewa wagombea wetu na kuimarisha mshikamano pale mmoja wao atakaposimama kuwakilisha upinzani.
Maendeleo hayana vyama!
Ndiyo ujue kuwa hao magamba sasa hivi yamechanganyikiwa kisa LissuKweli CCM madish yameyumba sasa upinzani kwa upinzani mdahalo wa nini?
Masahihisho, mimi SWEETTABLET najimwambafai na CCM.Endelea kujihurumia
TL na Jpm
mbwembwe hatutaki
Over
Mbunge wa Jimbo ganiTundu ni mbunge
Wewe na zumbukuku mnaishi nyumba mojaMasahihisho, mimi SWEETTABLET najimwambafai na CCM.
Kwangu naishi na mke wangu, mabinti zangu wawili na binti wa kazi. Vijana wangu wawili wa kiume wapo shule boarding. Nani Zumbukuku hapo?Wewe na zumbukuku mnaishi nyumba moja