Uchaguzi 2020 Chadema na ACT Wazalendo njia panda wagombea ubunge wao wengi wanatoka mkoa mmoja tu

Uchaguzi 2020 Chadema na ACT Wazalendo njia panda wagombea ubunge wao wengi wanatoka mkoa mmoja tu

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Watangaza nia ya kugombea ubunge vyama vya Chadema na ACT wazalendo wanawapa ugumu na kuviweka njia panda vyama vyao kwenye maamuzi.

Chadema watia nia wengine wanatoka mkoa wa Kilimanjaro wakati ACT wazalendo watia nia wengi wanatoka Pemba.

Na wengi wanafahamiana. Na wenyeviti wa hivyo vyama Kilimanjaro wanafahamiana na Mbowe mwenyekiti. Wa Chadema na kwa Pemba wanafahamiana na mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif ambao wana kazi ngumu kwenye kupitisha wagombea.

Mchujo waweza sambaratisha hivi vyama kuwa wakiwapitisha watu wa mikoa yao tu wa mikoa mingine wataona wameonewa na kujitoa kwenye vyama, wakipitisha wa mikoa mingine wa mikoa yao watajitoa kwa kuona wamedharauliwa wakati wao ndio wafia chama.

Kifupi zoezi la uchujaji majina halitaviacha salama hivi vyama viwili.
 
Watangaza nia ya kugombea ubunge vyama vya Chadema na ACT wazalendo wanawapa ugumu na kuviweka njia panda vyama vyao kwenye maamuzi.

Chadema watia nia wengine wanatoka mkoa wa Kilimanjaro wakati ACT wazalendo watia nia wengi wanatoka Pemba.

Na wengi wanafahamiana. Na wenyeviti wa hivyo vyama Kilimanjaro wanafahamiana na Mbowe mwenyekiti. Wa Chadema na kwa Pemba wanafahamiana na mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif ambao wana kazi ngumu kwenye kupitisha wagombea.

Mchujo waweza sambaratisha hivi vyama kuwa wakiwapitisha watu wa mikoa yao tu wa mikoa mingine wataona wameonewa na kujitoa kwenye vyama, wakipitisha wa mikoa mingine wa mikoa yao watajitoa kwa kuona wamedharauliwa wakati wao ndio wafia chama.

Kifupi zoezi la uchujaji majina halitaviacha salama hivi vyama viwili.
Kwani hivi vyama vitashiriki uchaguzi mwaka huu? Harufu ni kali sana kuwa CHADEMA watajitoa na watafanya juhudi kubwa kuvishawishi vyama vingine vijitoe
 
Watangaza nia ya kugombea ubunge vyama vya Chadema na ACT wazalendo wanawapa ugumu na kuviweka njia panda vyama vyao kwenye maamuzi.

Chadema watia nia wengine wanatoka mkoa wa Kilimanjaro wakati ACT wazalendo watia nia wengi wanatoka Pemba.

Na wengi wanafahamiana. Na wenyeviti wa hivyo vyama Kilimanjaro wanafahamiana na Mbowe mwenyekiti. Wa Chadema na kwa Pemba wanafahamiana na mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif ambao wana kazi ngumu kwenye kupitisha wagombea.

Mchujo waweza sambaratisha hivi vyama kuwa wakiwapitisha watu wa mikoa yao tu wa mikoa mingine wataona wameonewa na kujitoa kwenye vyama, wakipitisha wa mikoa mingine wa mikoa yao watajitoa kwa kuona wamedharauliwa wakati wao ndio wafia chama.

Kifupi zoezi la uchujaji majina halitaviacha salama hivi vyama viwili.
Tuwekee orodha uliyonayo
 
Watangaza nia ya kugombea ubunge vyama vya Chadema na ACT wazalendo wanawapa ugumu na kuviweka njia panda vyama vyao kwenye maamuzi.

Chadema watia nia wengine wanatoka mkoa wa Kilimanjaro wakati ACT wazalendo watia nia wengi wanatoka Pemba.

Na wengi wanafahamiana. Na wenyeviti wa hivyo vyama Kilimanjaro wanafahamiana na Mbowe mwenyekiti. Wa Chadema na kwa Pemba wanafahamiana na mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif ambao wana kazi ngumu kwenye kupitisha wagombea.

Mchujo waweza sambaratisha hivi vyama kuwa wakiwapitisha watu wa mikoa yao tu wa mikoa mingine wataona wameonewa na kujitoa kwenye vyama, wakipitisha wa mikoa mingine wa mikoa yao watajitoa kwa kuona wamedharauliwa wakati wao ndio wafia chama.

Kifupi zoezi la uchujaji majina halitaviacha salama hivi vyama viwili.

CCM wanasema Chadema kimeshakufa, watia nia wametoka wapi tena!
 
Watangaza nia ya kugombea ubunge vyama vya Chadema na ACT wazalendo wanawapa ugumu na kuviweka njia panda vyama vyao kwenye maamuzi.

Chadema watia nia wengine wanatoka mkoa wa Kilimanjaro wakati ACT wazalendo watia nia wengi wanatoka Pemba.

Na wengi wanafahamiana. Na wenyeviti wa hivyo vyama Kilimanjaro wanafahamiana na Mbowe mwenyekiti. Wa Chadema na kwa Pemba wanafahamiana na mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif ambao wana kazi ngumu kwenye kupitisha wagombea.

Mchujo waweza sambaratisha hivi vyama kuwa wakiwapitisha watu wa mikoa yao tu wa mikoa mingine wataona wameonewa na kujitoa kwenye vyama, wakipitisha wa mikoa mingine wa mikoa yao watajitoa kwa kuona wamedharauliwa wakati wao ndio wafia chama.

Kifupi zoezi la uchujaji majina halitaviacha salama hivi vyama viwili.
Weka majina na takwimu zao la sivyo kaa kimya.
 
Kwani muda wa kuchukua fomu za kugombea umefika?

Uzi wa kijinga.
 
Wamepanga kumkopa membe aje awasaidie ashindwe arudi ccm kuomba msamaha kama lowasa akubaliwe awaite wapinzani wahuni
Watangaza nia ya kugombea ubunge vyama vya Chadema na ACT wazalendo wanawapa ugumu na kuviweka njia panda vyama vyao kwenye maamuzi.

Chadema watia nia wengine wanatoka mkoa wa Kilimanjaro wakati ACT wazalendo watia nia wengi wanatoka Pemba.

Na wengi wanafahamiana. Na wenyeviti wa hivyo vyama Kilimanjaro wanafahamiana na Mbowe mwenyekiti. Wa Chadema na kwa Pemba wanafahamiana na mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif ambao wana kazi ngumu kwenye kupitisha wagombea.

Mchujo waweza sambaratisha hivi vyama kuwa wakiwapitisha watu wa mikoa yao tu wa mikoa mingine wataona wameonewa na kujitoa kwenye vyama, wakipitisha wa mikoa mingine wa mikoa yao watajitoa kwa kuona wamedharauliwa wakati wao ndio wafia chama.

Kifupi zoezi la uchujaji majina halitaviacha salama hivi vyama viwili.
 
Chadema na AcT wazalendo vyama vimemebaki mikoa wanayotoka wenyeviti wao Mbowe na Maalim Seif
Kigogo anasema Mwenyekiti wa CCM amepagawa kuona Chaadema kipo imara na uchaguzi umefika, tofauti wapambe wanavyomwamisha.
 
Watangaza nia ya kugombea ubunge vyama vya Chadema na ACT wazalendo wanawapa ugumu na kuviweka njia panda vyama vyao kwenye maamuzi.

Chadema watia nia wengine wanatoka mkoa wa Kilimanjaro wakati ACT wazalendo watia nia wengi wanatoka Pemba.

Na wengi wanafahamiana. Na wenyeviti wa hivyo vyama Kilimanjaro wanafahamiana na Mbowe mwenyekiti. Wa Chadema na kwa Pemba wanafahamiana na mwenyekiti wa ACT Wazalendo Maalim Seif ambao wana kazi ngumu kwenye kupitisha wagombea.

Mchujo waweza sambaratisha hivi vyama kuwa wakiwapitisha watu wa mikoa yao tu wa mikoa mingine wataona wameonewa na kujitoa kwenye vyama, wakipitisha wa mikoa mingine wa mikoa yao watajitoa kwa kuona wamedharauliwa wakati wao ndio wafia chama.

Kifupi zoezi la uchujaji majina halitaviacha salama hivi vyama viwili.
Wewe Yehodaya sasa hatukuelewi. Jana tu umetwambia Chadema imekufa, haipo, Sasa hao wagombea wa Chadema wanatoka wapi?
 
Kama uongoz wa Jamaii Forum unaruhusu Kuanzishwa thread za Chuki za Kikabila humu, kwa thread za huongo kabisa, basi jamii forum sio jukwa boro tena
 
Kichwa cha Habari cha Uzi wako kinasema hivi ↓↓

'Chadema na ACT Wazalendo njia panda wagombea ubunge wao wengi wanatoka mkoa mmoja tu'

But contents zilizomo ndani ya Uzi ni tofauti.
Wacha nirudi kwenye kichwa cha habari,

CHADEMA:
√ Inamana hata Jimbo langu la Mikumi mgombea Ubunge anatoka Kilimanjaro?
√ Majimbo yote yaliyopo hata pale Dodoma wagombea wake wanatoka Kilimanjaro?

ACT - WAZALENDO:
√ Wagombea ubunge wake wa majimbo yote ya Zanzibar wanatokea kwenye Kisiwa cha Pemba tu?
√ Wagombe Ubunge wa Majimbo ya Mikoa yote ya Tanzania Bara wanatokea Kigoma?

Nakushauri hivi "Weka Mkono Matakoni, Jitie Dole la Kati, Litie kwenye Pua ulinuse halafu sema 'Mimi ni Mpumbavu'"
 
Back
Top Bottom