Chadema na ajenda ya katiba ya wananchi.

Truths

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
1,494
Reaction score
1,504
Wakati WA uchaguzi mkuu ,Chadema waliungana na vyama vingine katika mwamvuli WA ukawa. Kikiwemo CUF. tLP nk. Muungano huu unafahamikanzaidi kwakua Unatetea katiba mpya.
Inashangaza kuona wana CCM wakipiga porojo kua CDm waliacha ajenda ya ufisadi.
Wakati wanajua fika kua CDM haikua peke yake ili kupeleka ajenda binafsi bali ya umoja wao.
Ufisadi utaepukikaje kama hakuna katiba mpya?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…