CHADEMA na CCM wanafanana kwa mambo mengi sana! Makamu wao wanawekwaga kwa gelesha?

CHADEMA na CCM wanafanana kwa mambo mengi sana! Makamu wao wanawekwaga kwa gelesha?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Kuna mbinu kali sana za kumkalisha mama wa kizimkazi hapo July 2025, anaweza akatokea akisema kwa sasa naona nipumzike,

Hii ni nguvu inayotoka ndani ya chama kuhakikisha hawatawaliwi Tena na mzanzibari na wengine hawataki mwanamke awatawale!

Vikao Vipo vingi mno yaan vingi na vingine vinaratibiwa na watu wazito sana

Najiuliza swali : Kama mlijua hawezi uraia kwanini mmpe umakamu na mnajua akifa Rais yeye ndo anaongoza?

Yale Yale ya CHADEMA kuona Lissu asingefaa Uenyekiti wakati mwenyekiti akitoweka anayetawala ni yeye!

Samia tumkatae kwa Hoja Kama tunavyowakataa marais wengine

Maana anayo madhaifu mengi mno ambayo yanatosha kumweka pembeni kuliko jinsia yake wala uzanzibar wake

Britanicca (tukutane July)
 
Tusubiri tuone
Kuna mbinu kali sana za kumkalisha mama wa kizimkazi hapo July 2025, anaweza akatokea akisema kwa sasa naona nipumzike,

Hii ni nguvu inayotoka ndani ya chama kuhakikisha hawatawaliwi Tena na mzanzibari na wengine hawataki mwanamke awatawale!

Vikao Vipo vingi mno yaan vingi na vingine vinaratibiwa na watu wazito sana

Najiuliza swali : Kama mlijua hawezi uraia kwanini mmpe umakamu na mnajua akifa Rais yeye ndo anaongoza?

Yale Yale ya CHADEMA kuona Lissu asingefaa Uenyekiti wakati mwenyekiti akitoweka anayetawala ni yeye!

Samia tumkatae kwa Hoja Kama tunavyowakataa marais wengine

Maana anayo madhaifu mengi mno ambayo yanatosha kumweka pembeni kuliko jinsia yake wala uzanzibar wake

Britanicca (tukutane July)
 
Kuna mbinu kali sana za kumkalisha mama wa kizimkazi hapo July 2025, anaweza akatokea akisema kwa sasa naona nipumzike,

Hii ni nguvu inayotoka ndani ya chama kuhakikisha hawatawaliwi Tena na mzanzibari na wengine hawataki mwanamke awatawale!

Vikao Vipo vingi mno yaan vingi na vingine vinaratibiwa na watu wazito sana

Najiuliza swali : Kama mlijua hawezi uraia kwanini mmpe umakamu na mnajua akifa Rais yeye ndo anaongoza?

Yale Yale ya CHADEMA kuona Lissu asingefaa Uenyekiti wakati mwenyekiti akitoweka anayetawala ni yeye!

Samia tumkatae kwa Hoja Kama tunavyowakataa marais wengine

Maana anayo madhaifu mengi mno ambayo yanatosha kumweka pembeni kuliko jinsia yake wala uzanzibar wake

Britanicca (tukutane July)
CCM daima Samia mitano tena
 
Nyota kutoka Brazil itang'aa zaidi na kuwa na mwanga wa jua na kuangaza Tanzania kote!!

Lisu ndio anaenda kutumiwa kumtoa nyoka pangoni!atapewa nyenzo na silaha zote toka kwa wakubwa wa ccm ili kumpanikisha mama Hadi ataomba Pooh!

Songea kuchele kuchele!ataonekana ndio chaguo la mama kumbe kawekwa pale kimkakati!

Operation PJLK!
 
Nyota kutoka Brazil itang'aa zaidi na kuwa na mwanga wa jua na kuangaza Tanzania kote!!

Lisu ndio anaenda kutumiwa kumtoa nyoka pangoni!atapewa nyenzo na silaha zote toka kwa wakubwa wa ccm ili kumpanikisha mama Hadi ataomba Pooh!

Songea kuchele kuchele!ataonekana ndio chaguo la mama kumbe kawekwa pale kimkakati!

Operation PJLK!
PJKL ndio nini mkuu?
 
Kuna mbinu kali sana za kumkalisha mama wa kizimkazi hapo July 2025, anaweza akatokea akisema kwa sasa naona nipumzike,

Hii ni nguvu inayotoka ndani ya chama kuhakikisha hawatawaliwi Tena na mzanzibari na wengine hawataki mwanamke awatawale!

Vikao Vipo vingi mno yaan vingi na vingine vinaratibiwa na watu wazito sana

Najiuliza swali : Kama mlijua hawezi uraia kwanini mmpe umakamu na mnajua akifa Rais yeye ndo anaongoza?

Yale Yale ya CHADEMA kuona Lissu asingefaa Uenyekiti wakati mwenyekiti akitoweka anayetawala ni yeye!

Samia tumkatae kwa Hoja Kama tunavyowakataa marais wengine

Maana anayo madhaifu mengi mno ambayo yanatosha kumweka pembeni kuliko jinsia yake wala uzanzibar wake

Britanicca (tukutane July)
Mwenyekiti wa Ccm ndio mwenye kauli ya mwisho nchi hii..
 
Kuna mbinu kali sana za kumkalisha mama wa kizimkazi hapo July 2025, anaweza akatokea akisema kwa sasa naona nipumzike,

Hii ni nguvu inayotoka ndani ya chama kuhakikisha hawatawaliwi Tena na mzanzibari na wengine hawataki mwanamke awatawale!

Vikao Vipo vingi mno yaan vingi na vingine vinaratibiwa na watu wazito sana

Najiuliza swali : Kama mlijua hawezi uraia kwanini mmpe umakamu na mnajua akifa Rais yeye ndo anaongoza?

Yale Yale ya CHADEMA kuona Lissu asingefaa Uenyekiti wakati mwenyekiti akitoweka anayetawala ni yeye!

Samia tumkatae kwa Hoja Kama tunavyowakataa marais wengine

Maana anayo madhaifu mengi mno ambayo yanatosha kumweka pembeni kuliko jinsia yake wala uzanzibar wake

Britanicca (tukutane July)
sasa umeongea wewe, Mimi ni nani NIBISHE.....
 
Kuna mbinu kali sana za kumkalisha mama wa kizimkazi hapo July 2025, anaweza akatokea akisema kwa sasa naona nipumzike,

Hii ni nguvu inayotoka ndani ya chama kuhakikisha hawatawaliwi Tena na mzanzibari na wengine hawataki mwanamke awatawale!

Vikao Vipo vingi mno yaan vingi na vingine vinaratibiwa na watu wazito sana

Najiuliza swali : Kama mlijua hawezi uraia kwanini mmpe umakamu na mnajua akifa Rais yeye ndo anaongoza?

Yale Yale ya CHADEMA kuona Lissu asingefaa Uenyekiti wakati mwenyekiti akitoweka anayetawala ni yeye!

Samia tumkatae kwa Hoja Kama tunavyowakataa marais wengine

Maana anayo madhaifu mengi mno ambayo yanatosha kumweka pembeni kuliko jinsia yake wala uzanzibar wake

Britanicca (tukutane July)
Makamu Mwenyekiti wa CCM anajidhalilisha sana aisee, Bora akae zake kimya tu
 
Kuna mbinu kali sana za kumkalisha mama wa kizimkazi hapo July 2025, anaweza akatokea akisema kwa sasa naona nipumzike,

Hii ni nguvu inayotoka ndani ya chama kuhakikisha hawatawaliwi Tena na mzanzibari na wengine hawataki mwanamke awatawale!

Vikao Vipo vingi mno yaan vingi na vingine vinaratibiwa na watu wazito sana

Najiuliza swali : Kama mlijua hawezi uraia kwanini mmpe umakamu na mnajua akifa Rais yeye ndo anaongoza?

Yale Yale ya CHADEMA kuona Lissu asingefaa Uenyekiti wakati mwenyekiti akitoweka anayetawala ni yeye!

Samia tumkatae kwa Hoja Kama tunavyowakataa marais wengine

Maana anayo madhaifu mengi mno ambayo yanatosha kumweka pembeni kuliko jinsia yake wala uzanzibar wake

Britanicca (tukutane July)
Mamlaka yake ni makubwa kuliko madhaifu yake!hawawezi mfanya chochote labda fujo Toka kwa wanaoaminika!
 
Back
Top Bottom