johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nilimsikiliza Freeman Mbowe, ana kiu ya katiba mpya.
Nikamsikiliza Tundu Lisu, ana kiu ya katiba mpya.
Nikamsikiliza Hamad Rashid, haitaji katiba mpya.
Nikamsikiliza Zitto Kabwe, ana kiu ya tume huru ya uchaguzi
Nimemsikiliza Prof Lipumba ana kiu ya katiba mpya.
Hivyo basi napendekeza Freeman Mbowe na Prof Lipumba waongoze movement ya kudai Katiba mpya.
Nawasilisha.
Maendeleo hayana vyama!
Nikamsikiliza Tundu Lisu, ana kiu ya katiba mpya.
Nikamsikiliza Hamad Rashid, haitaji katiba mpya.
Nikamsikiliza Zitto Kabwe, ana kiu ya tume huru ya uchaguzi
Nimemsikiliza Prof Lipumba ana kiu ya katiba mpya.
Hivyo basi napendekeza Freeman Mbowe na Prof Lipumba waongoze movement ya kudai Katiba mpya.
Nawasilisha.
Maendeleo hayana vyama!