johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati Fulani historia inakataa baadhi ya mambo,binafsi ninavyokumbuka ya buguruni ya Leprofeser napata kigugumizi kama kutakuwa na jambo hapo🤔.Nilimsikiliza Freeman Mbowe, ana kiu ya katiba mpya.
Nikamsikiliza Tundu Lisu, ana kiu ya katiba mpya...
Unajua Jo huna akili ama unayo lakini ni finyu kama matako ya bataNilimsikiliza Freeman Mbowe, ana kiu ya katiba mpya.
Nikamsikiliza Tundu Lisu, ana kiu ya katiba mpya.
Nikamsikiliza Hamad Rashid, haitaji katiba mpya.
Nikamsikiliza Zitto Kabwe, ana kiu ya tume huru ya uchaguzi
Nimemsikiliza Prof Lipumba ana kiu ya katiba mpya.
Hivyo basi napendekeza Freeman Mbowe na Prof Lipumba waongoze movement ya kudai Katiba mpya.
Nawasilisha.
Maendeleo hayana vyama!
Jo nafikiri ni Mzito Kabwela😜Unajua Jo huna akili ama unayo lakini ni finyu kama matako ya bata