LGE2024 CHADEMA na TLP zaungana na kukubaliana kuunda serikali ya Mseto, TLP itatoa Mwenyekiti na Chadema itatoa wale Wajumbe 5

LGE2024 CHADEMA na TLP zaungana na kukubaliana kuunda serikali ya Mseto, TLP itatoa Mwenyekiti na Chadema itatoa wale Wajumbe 5

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wagombea wa CHADEMA na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)

Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese

Mwananchi

Mlale Unono 😀😀
 
Wagombea wa Chadema na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)

Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese

Mwananchi

Mlale Unono 😀😀
hiyo ni earthquake au tsunami gentleman? dah 🤣
 
Wagombea wa Chadema na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)

Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese

Mwananchi

Mlale Unono 😀😀
Daah aisee
 
Wagombea wa Chadema na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)

Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese

Mwananchi

Mlale Unono 😀😀
Machadema Kwa Sasa yanapymulia machine Kila chama wanahaha.

Saizi wanashirikiana na wale waliowaita CCM B 😆😆😆👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCwuZ4At0_0/?igsh=dWFxZ2xramY0cW0w
 
Ndio mambo tunataka sasa, ACT, TLP, CUF, Chauma na vyama vingine lazima ifike pahala tutangulize maslahi ya umma kwanza,, bila miungano kama hii hamuwezi katu kuiangusha CCM, hii itakua taarifa mbaya sana kwa Lucas Mwashambwa na chawa wenzie,,
 
Wagombea wa CHADEMA na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)

Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese

Mwananchi

Mlale Unono 😀😀
Chapa ya jogoo!!!
Chadema haijifunzi kutoka zoezi la 2015!!
 
Ndio mambo tunataka sasa, ACT, TLP, CUF, Chauma na vyama vingine lazima ifike pahala tutangulize maslahi ya umma kwanza,, bila miungano kama hii hamuwezi katu kuiangusha CCM, hii itakua taarifa mbaya sana kwa Lucas Mwashambwa na chawa wenzie,,
Chadema bana 🤣🤣🤣👇👇
Screenshot_20241124-165158.jpg
 
Wagombea wa CHADEMA na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)

Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese

Mwananchi

Mlale Unono 😀😀
Kama nchi tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya, siasa za kishamba kama hizi tungeziacha maake mwisho ni kutekana tuu
 
Back
Top Bottom