johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wagombea wa CHADEMA na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)
Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese
Mwananchi
Mlale Unono 😀😀
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)
Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese
Mwananchi
Mlale Unono 😀😀