johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
hiyo ni earthquake au tsunami gentleman? dah π€£Wagombea wa Chadema na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)
Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese
Mwananchi
Mlale Unono ππ
Daah aiseeWagombea wa Chadema na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)
Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese
Mwananchi
Mlale Unono ππ
Siasa ni Sayansi πππDaah aisee
Machadema Kwa Sasa yanapymulia machine Kila chama wanahaha.Wagombea wa Chadema na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)
Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese
Mwananchi
Mlale Unono ππ
Sasa mbowe walimkamata kwanini uko kwenu Bwashee? πMachadema Kwa Sasa yanapymulia machine Kila chama wanahaha.
Saizi wanashirikiana na wale waliowaita CCM B πππππ
View: https://www.instagram.com/p/DCwuZ4At0_0/?igsh=dWFxZ2xramY0cW0w
Cc Lucas Mwashambwa πππππSasa mbowe walimkamata kwanini uko kwenu Bwashee? π
Huyu waendelee kumshikilia ndani ili atoe maelezo vizuri na kumshikisha adabu.
Huyo ndiye anafanya Old Mbeya isipotee Kwenye ramani ππHuyu waendelee kumshikilia ndani ili atoe maelezo vizuri na kumshikisha adabu.
Chapa ya jogoo!!!Wagombea wa CHADEMA na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)
Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese
Mwananchi
Mlale Unono ππ
Chadema bana π€£π€£π€£ππNdio mambo tunataka sasa, ACT, TLP, CUF, Chauma na vyama vingine lazima ifike pahala tutangulize maslahi ya umma kwanza,, bila miungano kama hii hamuwezi katu kuiangusha CCM, hii itakua taarifa mbaya sana kwa Lucas Mwashambwa na chawa wenzie,,
Hiki chama cha hovyo sana.Chadema bana π€£π€£π€£ππ
View attachment 3160570
Kama nchi tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya, siasa za kishamba kama hizi tungeziacha maake mwisho ni kutekana tuuWagombea wa CHADEMA na TLP Mtaa wa Tandale Kwa Tumbo wamekubaliana kuunganisha Nguvu ambapo Mwenyekiti kutoka TLP apewe Kura na Wajumbe Wote kutoka Chadema wapewe kura kisha wataunda serikali ya Mseto
Mgombea Uenyekiti ni mh Ruben Peter ( TLP)
Ushirikiano huu umeungwa mkono na Wafuasi wa vyama vya Upinzani Tandale na Manzese
Mwananchi
Mlale Unono ππ
Wajumbe watamteka mwenyekiti?πΌKama nchi tuna mambo mengi ya msingi ya kufanya, siasa za kishamba kama hizi tungeziacha maake mwisho ni kutekana tuu
Science with completely no laboratory experiment, dah π€£Siasa ni Sayansi πππ
ππππScience with completely no laboratory experiment, dah π€£
Colabo ya TLP na Chadema?
ni kasongo yeye mobali na ngai π€£