Tetesi: Chadema na UKAWA mkoani Mbeya kuandamana kupinga muhimili wa mahakama kuingiliwa

Tetesi: Chadema na UKAWA mkoani Mbeya kuandamana kupinga muhimili wa mahakama kuingiliwa

Joined
Jan 16, 2018
Posts
54
Reaction score
35
Amani iwe nanyi, tetesi zilizonifikia hivi punde ni kwamba vyama vinavyounda ukawa vikiongozwa na chadema vimepanga kuitisha maandamano ya amani mkoani hapa ili kupinga vitendo vya wanasiasa(ccm na serikali) kuingilia Uhuru wa mahakama na kuwa juu ya sheria kwa kuwaelekeza mahakimu kuwanyanyasa viongozi wa upinzanini na kuwafunga jela.

Aidha kumekuwepo na tetesi kwamba hakimu mfawidhi mahakama ya mbeya ameshinikizwa awafunge kifungo kirefu mh sugu na katibu wake ili apoteze sifa za kuwa mbunge na ufanyike uchaguzi mdogo licha ya jaji mkuu kiongozi kutoa onyo juzi tu.
 
Amani iwe nanyi, tetesi zilizonifikia hivi punde ni kwamba vyama vinavyounda ukawa vikiongozwa na chadema vimepanga kuitisha maandamano ya amani mkoani hapa ili kupinga vitendo vya wanasiasa(ccm na serikali) kuingilia Uhuru wa mahakama na kuwa juu ya sheria kwa kuwaelekeza mahakimu kuwanyanyasa viongozi wa upinzanini na kuwafunga jela.

Aidha kumekuwepo na tetesi kwamba hakimu mfawidhi mahakama ya mbeya ameshinikizwa awafunge kifungo kirefu mh sugu na katibu wake ili apoteze sifa za kuwa mbunge na ufanyike uchaguzi mdogo licha ya jaji mkuu kiongozi kutoa onyo juzi tu.

Mwisho wa siku bado kuna rufaa ni kujisumbua bure
 
Mbowe Jana nimemuona kwenye habari Azam two akitaka Wafuasi wa Chadema kuwa watulivu na kuendelea na shughuli zao Sasa huko Ufipa Nani Ana ubavu wa kupitisha Maandamano bila ya kibali cha Mwenyekiti?
 
Sisonje kashindwa kuleta maendele na sasa anafanya chuki kama kawaida yake,MDINI MZINZI CHUKI WIVU ndio maana hana maendeleo kwake


Swissme
miaka mi5 itaisha hamna lolote litakalofanyika, viwanda sivioni, umeme ni shida, zaidi ya wafanyabiashara kuja kutaka kuwekeza wanapelekwa kwenye viwanda vya azam utadhani ni vya kwao, ni bora wangeweka nguvu kwenye kilimo viwanda vingekuja tu kwani malighafi ingetokana na kilimo hicho hicho
 
Mambo huanzaga hivyo mwisho Taifa zima ccm wanajisahau sana
 
Naamini kabisa wananchi wa "Jamhuri" ya Mbeya. Na naamini wanaweza fanya hayo uliyoyasema. Ushauri ni wakatingishe kwingine hicho kibiriti.
 
Hakimu tunaishi nae hapa mtaani mbeya na watoto wake hawana hata baiskeli sasa ngoja alishwe maneno



Swissme
 
Amani iwe nanyi, tetesi zilizonifikia hivi punde ni kwamba vyama vinavyounda ukawa vikiongozwa na chadema vimepanga kuitisha maandamano ya amani mkoani hapa ili kupinga vitendo vya wanasiasa(ccm na serikali) kuingilia Uhuru wa mahakama na kuwa juu ya sheria kwa kuwaelekeza mahakimu kuwanyanyasa viongozi wa upinzanini na kuwafunga jela.

Aidha kumekuwepo na tetesi kwamba hakimu mfawidhi mahakama ya mbeya ameshinikizwa awafunge kifungo kirefu mh sugu na katibu wake ili apoteze sifa za kuwa mbunge na ufanyike uchaguzi mdogo licha ya jaji mkuu kiongozi kutoa onyo juzi tu.
Tukiwambia UKAWA ni taka taka mnaanza kulia... sasa mna anadamana nini ikiwa kesi iko mahakamani? ni nani ameingilia uhuru wa mahakama? Hivi nyie mnavyotaka kuandamana ili kushinikiza hamuingilii uhuru wa mahakama?
hahahahaha tuna wasubiri muandamane..........
 
Back
Top Bottom