CHADEMA na Wakenya wana maslahi gani kwenye vurugu zinazoendelea Ngorogoro?

CHADEMA na Wakenya wana maslahi gani kwenye vurugu zinazoendelea Ngorogoro?

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO?

Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni, CHADEMA ni chama ambacho kimechochea mgogoro wa eneo letu takatifu la Ngorongoro. Tunalaani kwa nguvu zote juhudi hizi za CHADEMA kuingiza siasa kwenye maisha yetu ya kila siku, ambayo yamekuwa ya amani na utulivu kwa vizazi vingi.

Tunajua wazi kuwa CHADEMA imekuwa ikitumia mbinu za kuchochea mgawanyiko na kuchafua mazingira ya kijamii kwa lengo la kujinufaisha kisiasa. Hatutakubali kuwa ngao ya maslahi ya wanasiasa wachache wenye tamaa ya madaraka, ambao hawajali hali yetu na maslahi yetu kama Wamasai. Migogoro inayochochewa inahatarisha utamaduni wetu, mifugo yetu, na amani tuliyoijenga kwa muda mrefu katika ardhi yetu.

Tunatoa wito kwa CHADEMA na vyama vingine vya siasa kuacha mara moja kuchochea migogoro miongoni mwa jamii yetu. Tunahitaji uongozi unaojali ustawi wetu na unaoheshimu maisha yetu ya jadi, siasa safi zinazojali watu, sio siasa za migogoro na mgawanyiko tunaimani kubwa juu ya jitihada za Serikali kututafutia maeneo mbadala ya kwenda kuishi kwa Amani na Familia zetu (Msomera - Tanga). Wamasai wa Ngorongoro tutaendelea kuwa wamoja katika kulinda utamaduni wetu dhidi ya yeyote anayejipenyeza kwa nia mbaya.

321.jpeg
Pia soma>> Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
 
CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO?

Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni, CHADEMA ni chama ambacho kimechochea mgogoro wa eneo letu takatifu la Ngorongoro. Tunalaani kwa nguvu zote juhudi hizi za CHADEMA kuingiza siasa kwenye maisha yetu ya kila siku, ambayo yamekuwa ya amani na utulivu kwa vizazi vingi.

Tunajua wazi kuwa CHADEMA imekuwa ikitumia mbinu za kuchochea mgawanyiko na kuchafua mazingira ya kijamii kwa lengo la kujinufaisha kisiasa. Hatutakubali kuwa ngao ya maslahi ya wanasiasa wachache wenye tamaa ya madaraka, ambao hawajali hali yetu na maslahi yetu kama Wamasai. Migogoro inayochochewa inahatarisha utamaduni wetu, mifugo yetu, na amani tuliyoijenga kwa muda mrefu katika ardhi yetu.

Tunatoa wito kwa CHADEMA na vyama vingine vya siasa kuacha mara moja kuchochea migogoro miongoni mwa jamii yetu. Tunahitaji uongozi unaojali ustawi wetu na unaoheshimu maisha yetu ya jadi, siasa safi zinazojali watu, sio siasa za migogoro na mgawanyiko tunaimani kubwa juu ya jitihada za Serikali kututafutia maeneo mbadala ya kwenda kuishi kwa Amani na Familia zetu (Msomera - Tanga). Wamasai wa Ngorongoro tutaendelea kuwa wamoja katika kulinda utamaduni wetu dhidi ya yeyote anayejipenyeza kwa nia mbaya.
Mtese wananchi na Waarabu wenu halafu mtafute kisingizio cha Chadema na Kenya. Hiyo ardhi ni ya Wamasai kama vile Zanzibar ni yenu; kwa nini hamuuzi Zanzibar mnauza ardhi ya Wamasai? Alivyotawala Seyid Said wa Oman nyie mlifanya mapinduzi kurudisha ardhi yenu; sasa mnakuja huku kuuza ardhi ya Wamasai mnaanza kusingizia Chadema. Kule Palestina mmeshindwa kwa Israel sasa mnakuja huku.
 
CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO?

Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni, CHADEMA ni chama ambacho kimechochea mgogoro wa eneo letu takatifu la Ngorongoro. Tunalaani kwa nguvu zote juhudi hizi za CHADEMA kuingiza siasa kwenye maisha yetu ya kila siku, ambayo yamekuwa ya amani na utulivu kwa vizazi vingi.

Tunajua wazi kuwa CHADEMA imekuwa ikitumia mbinu za kuchochea mgawanyiko na kuchafua mazingira ya kijamii kwa lengo la kujinufaisha kisiasa. Hatutakubali kuwa ngao ya maslahi ya wanasiasa wachache wenye tamaa ya madaraka, ambao hawajali hali yetu na maslahi yetu kama Wamasai. Migogoro inayochochewa inahatarisha utamaduni wetu, mifugo yetu, na amani tuliyoijenga kwa muda mrefu katika ardhi yetu.

Tunatoa wito kwa CHADEMA na vyama vingine vya siasa kuacha mara moja kuchochea migogoro miongoni mwa jamii yetu. Tunahitaji uongozi unaojali ustawi wetu na unaoheshimu maisha yetu ya jadi, siasa safi zinazojali watu, sio siasa za migogoro na mgawanyiko tunaimani kubwa juu ya jitihada za Serikali kututafutia maeneo mbadala ya kwenda kuishi kwa Amani na Familia zetu (Msomera - Tanga). Wamasai wa Ngorongoro tutaendelea kuwa wamoja katika kulinda utamaduni wetu dhidi ya yeyote anayejipenyeza kwa nia mbaya.
Umetumia njia ya haja kubwa kufikiri kuaandika huu ujinga wako hapa
 
CHADEMA NA WAKENYA MNAMASLAHI GANI NA VURUGU ZA NGORONGORO?

Wamasai wa Ngorongoro wamesikitishwa sana na vitendo vya CHADEMA Kuchochea vurugu Wilayani Ngorongoro Katika kata moja ya Enduleni, CHADEMA ni chama ambacho kimechochea mgogoro wa eneo letu takatifu la Ngorongoro. Tunalaani kwa nguvu zote juhudi hizi za CHADEMA kuingiza siasa kwenye maisha yetu ya kila siku, ambayo yamekuwa ya amani na utulivu kwa vizazi vingi.

Tunajua wazi kuwa CHADEMA imekuwa ikitumia mbinu za kuchochea mgawanyiko na kuchafua mazingira ya kijamii kwa lengo la kujinufaisha kisiasa. Hatutakubali kuwa ngao ya maslahi ya wanasiasa wachache wenye tamaa ya madaraka, ambao hawajali hali yetu na maslahi yetu kama Wamasai. Migogoro inayochochewa inahatarisha utamaduni wetu, mifugo yetu, na amani tuliyoijenga kwa muda mrefu katika ardhi yetu.

Tunatoa wito kwa CHADEMA na vyama vingine vya siasa kuacha mara moja kuchochea migogoro miongoni mwa jamii yetu. Tunahitaji uongozi unaojali ustawi wetu na unaoheshimu maisha yetu ya jadi, siasa safi zinazojali watu, sio siasa za migogoro na mgawanyiko tunaimani kubwa juu ya jitihada za Serikali kututafutia maeneo mbadala ya kwenda kuishi kwa Amani na Familia zetu (Msomera - Tanga). Wamasai wa Ngorongoro tutaendelea kuwa wamoja katika kulinda utamaduni wetu dhidi ya yeyote anayejipenyeza kwa nia mbaya.


Jipige kifuani pako mara tatu huku ukisema kuwa wewe ni mpumbavu, usiye na faida kwa yeyote hapa Duniani isipokuwa shetani unayemwabudu.

Mungu azidi kuwapa ujasiri wamasai na wanadamu wote wanaopigania haki zao kwani Mungu alimpa mwanadamu wanyama wote awatawale.

Mwafrika ni binadamu kamili kama wanadamu wengine. Kamwe waafrika wasinyanyaswe na kuhangaishwa ili kumnufaisha na kumfurahisha mwarabu mwizi wa rasilimali za nchi yetu.

Kwenye hili wanadamu wote wenye Roho wa Bwana tuungane, mambo ya vyama, dini, kanda, ni ya baadaye, siyo kwenye haki za msingi. Sisi wote ni wanadamu (isipokuwa yale mashetani ambayo yapo kwaajili ya kuwatesa watanzania), tuungane kutetea haki zetu na za wanadamu wenzetu. Utu wa mtanzania usidhalilishwe kwa sababu ya kumnufaisha na kumfurahisha mwarabu.
 
Hivi kwa dunia ya sasa iliyojaa mitandao, teknolojia na uelewa bado mnahisi mnaweza fanya kitu kisha mkajitetea kwa kusingizia chadema na wakenya?
 
Back
Top Bottom