Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Tumeona CCM walivuohangaika na mkutano wao kuhakikisha unafana na kuwa talk of the town lakini bado kumedorora utafikiri hawajabeba wasanii wote Tanzania mpaka Kongo

Lakini pamoja na yote hayo, kwenye kujipanga na kuhakikisha jambo lao linakuwa super wako vizuri sanaaaa. Yaani huwa hawana shoo ndogo.
Pia soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Sasa tukika kwa wenzangu na mimi hata steji anayosimamia Lissu mnazingua kweli? Hata kama mko ma resource ndogo mmezidi. Mobilisation 0, kuplani -0, yaani mnajiendea endea tu utafikiri hamna kichwa.
Chukueni somo kwa wenzenu na muangalie kwa resource hizo hizo mlizonazo fanyeni kitu kizuri. Watanzania wakiona mna muelekeo hawataacha kusapoti, sasa hivi wanaona bora CCM sababu wenyewe hamjielewi.
Lissu kawachana ukweli, mnatakiwa kurudi nyuma mjipange na kwenda kama watu wanaojielewa kichwani.
Mje na mapovu makali ya kutoa madoa maana nilimwagia nguo juisi


Tumeona CCM walivuohangaika na mkutano wao kuhakikisha unafana na kuwa talk of the town lakini bado kumedorora utafikiri hawajabeba wasanii wote Tanzania mpaka Kongo

Lakini pamoja na yote hayo, kwenye kujipanga na kuhakikisha jambo lao linakuwa super wako vizuri sanaaaa. Yaani huwa hawana shoo ndogo.
Pia soma: Pre GE2025 - Stephen Wasira amrithi Kinana nafasi ya Makamu Mwenyekiti CCM Tanzania Bara
Sasa tukika kwa wenzangu na mimi hata steji anayosimamia Lissu mnazingua kweli? Hata kama mko ma resource ndogo mmezidi. Mobilisation 0, kuplani -0, yaani mnajiendea endea tu utafikiri hamna kichwa.
Chukueni somo kwa wenzenu na muangalie kwa resource hizo hizo mlizonazo fanyeni kitu kizuri. Watanzania wakiona mna muelekeo hawataacha kusapoti, sasa hivi wanaona bora CCM sababu wenyewe hamjielewi.
Lissu kawachana ukweli, mnatakiwa kurudi nyuma mjipange na kwenda kama watu wanaojielewa kichwani.
Mje na mapovu makali ya kutoa madoa maana nilimwagia nguo juisi


