CHADEMA nayo ni biashara ya Mbowe?

CHADEMA nayo ni biashara ya Mbowe?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
I’m continuing to read the tea leaves from Tundu Lissu’s Clubhouse appearance.

Lissu aliulizwa swali kuhusu Mbowe kuibeba CHADEMA kifedha.

Akafunguka na kusema kuwa kuna nyakati kamati kuu ya chama ilikuwa inamwambia Mbowe kuwa chama kinahitaji kiasi hiki cha pesa kwa sababu moja, mbili, tatu.

Akishataarifiwa kuhusu hayo mahitaji ya kifedha, Mbowe alikuwa anaenda anakokujua yeye mwenyewe na kurudi na hizo pesa.

Hizo pesa zilikuwa ni mikopo kwa CHADEMA.

Baadaye chama kikipata hela za ruzuku, deni lilikuwa linalipwa kwa huyo mkopeshaji [Mbowe?].

Kisheria kwa sheria zilizopo, sijui uhalali wake ukoje hapo.

Ila nimewaza na kufikiria kuwa yawezekana kulikuwa kunafanyika kamchezo haramu hapo.

Inawezekana katika kuilipa hiyo mikopo, kulikuwa na ‘riba’ nzuri tu.

Lissu alivyokuwa anaongea ni kama vile hakuwa kabisa ‘privy’ na hizo taarifa za fedha za chama.

Kama ni kweli, hiyo inaweza kuelezea vizuri kabisa kwa nini Mbowe anang’ng’ania hayo madaraka.

Maana asipokuwa tena mwenyekiti basi na hiyo ‘gravy train’ ya SGR ndo bye bye na yenyewe.

Hivi yule CAG huwa havikagui hivi vyama vya siasa?

Vitabu vya CHADEMA vinahitaji kupitiwa na kukaguliwa kwa kina.

Maana isije kuwa watu wanafanya biashara kwa mgongo wa siasa za kuwakomboa Watanzania.

Merry Christmas 🎄.
 
I’m continuing to read the tea leaves from Tundu Lissu’s Clubhouse appearance.

Lissu aliulizwa swali kuhusu Mbowe kuibeba CHADEMA kifedha.

Akafunguka na kusema kuwa kuna nyakati kamati kuu ya chama ilikuwa inamwambia Mbowe kuwa chama kinahitaji kiasi hiki cha pesa kwa sababu moja, mbili, tatu.

Akishataarifiwa kuhusu hayo mahitaji ya kifedha, Mbowe alikuwa anaenda anakokujua yeye mwenyewe na kurudi na hizo pesa.

Hizo pesa zilikuwa ni mikopo kwa CHADEMA.

Baadaye chama kikipata hela za ruzuku, deni lilikuwa linalipwa kwa huyo mkopeshaji [Mbowe?].

Kisheria kwa sheria zilizopo, sijui uhalali wake ukoje hapo.

Ila nimewaza na kufikiria kuwa yawezekana kulikuwa kunafanyika kamchezo haramu hapo.

Inawezekana katika kuilipa hiyo mikopo, kulikuwa na ‘riba’ nzuri tu.

Lissu alivyokuwa anaongea ni kama vile hakuwa kabisa ‘privy’ na hizo taarifa za fedha za chama.

Kama ni kweli, hiyo inaweza kuelezea vizuri kabisa kwa nini Mbowe anang’ng’ania hayo madaraka.

Maana asipokuwa tena mwenyekiti basi na hiyo ‘gravy train’ ya SGR ndo bye bye na yenyewe.

Hivi yule CAG huwa havikagui hivi vyama vya siasa?

Vitabu vya CHADEMA vinahitaji kupitiwa na kukaguliwa kwa kina.

Maana isije kuwa watu wanafanya biashara kwa mgongo wa siasa za kuwakomboa Watanzania.

Merry Christmas 🎄.
Ina maana Mzee Mbowe anayo Leseni ya kukopesha fedha inayotolewa na Bank kuu ya Tanzania ?kama hana kibali cha kukopesha toka BOT huyu mzee kwa ufupi ni anafanya bishara haramu.
 
I’m continuing to read the tea leaves from Tundu Lissu’s Clubhouse appearance.

Lissu aliulizwa swali kuhusu Mbowe kuibeba CHADEMA kifedha.

Akafunguka na kusema kuwa kuna nyakati kamati kuu ya chama ilikuwa inamwambia Mbowe kuwa chama kinahitaji kiasi hiki cha pesa kwa sababu moja, mbili, tatu.

Akishataarifiwa kuhusu hayo mahitaji ya kifedha, Mbowe alikuwa anaenda anakokujua yeye mwenyewe na kurudi na hizo pesa.

Hizo pesa zilikuwa ni mikopo kwa CHADEMA.

Baadaye chama kikipata hela za ruzuku, deni lilikuwa linalipwa kwa huyo mkopeshaji [Mbowe?].

Kisheria kwa sheria zilizopo, sijui uhalali wake ukoje hapo.

Ila nimewaza na kufikiria kuwa yawezekana kulikuwa kunafanyika kamchezo haramu hapo.

Inawezekana katika kuilipa hiyo mikopo, kulikuwa na ‘riba’ nzuri tu.

Lissu alivyokuwa anaongea ni kama vile hakuwa kabisa ‘privy’ na hizo taarifa za fedha za chama.

Kama ni kweli, hiyo inaweza kuelezea vizuri kabisa kwa nini Mbowe anang’ng’ania hayo madaraka.

Maana asipokuwa tena mwenyekiti basi na hiyo ‘gravy train’ ya SGR ndo bye bye na yenyewe.

Hivi yule CAG huwa havikagui hivi vyama vya siasa?

Vitabu vya CHADEMA vinahitaji kupitiwa na kukaguliwa kwa kina.

Maana isije kuwa watu wanafanya biashara kwa mgongo wa siasa za kuwakomboa Watanzania.

Merry Christmas 🎄.
Chadema imegharimiwa kwa fedha nyingi binafsi za Mbowe, wafuasi na marafiki zake. Pia CDM imegharimiwa kwa damu za vijana wengi wabichi. Hizo habari za kufanya ukaguzi ni sawa ila wasiojua uhalisia ndio watakuja na hizi simplistic statements.
 
I’m continuing to read the tea leaves from Tundu Lissu’s Clubhouse appearance.

Lissu aliulizwa swali kuhusu Mbowe kuibeba CHADEMA kifedha.

Akafunguka na kusema kuwa kuna nyakati kamati kuu ya chama ilikuwa inamwambia Mbowe kuwa chama kinahitaji kiasi hiki cha pesa kwa sababu moja, mbili, tatu.

Akishataarifiwa kuhusu hayo mahitaji ya kifedha, Mbowe alikuwa anaenda anakokujua yeye mwenyewe na kurudi na hizo pesa.

Hizo pesa zilikuwa ni mikopo kwa CHADEMA.

Baadaye chama kikipata hela za ruzuku, deni lilikuwa linalipwa kwa huyo mkopeshaji [Mbowe?].

Kisheria kwa sheria zilizopo, sijui uhalali wake ukoje hapo.

Ila nimewaza na kufikiria kuwa yawezekana kulikuwa kunafanyika kamchezo haramu hapo.

Inawezekana katika kuilipa hiyo mikopo, kulikuwa na ‘riba’ nzuri tu.

Lissu alivyokuwa anaongea ni kama vile hakuwa kabisa ‘privy’ na hizo taarifa za fedha za chama.

Kama ni kweli, hiyo inaweza kuelezea vizuri kabisa kwa nini Mbowe anang’ng’ania hayo madaraka.

Maana asipokuwa tena mwenyekiti basi na hiyo ‘gravy train’ ya SGR ndo bye bye na yenyewe.

Hivi yule CAG huwa havikagui hivi vyama vya siasa?

Vitabu vya CHADEMA vinahitaji kupitiwa na kukaguliwa kwa kina.

Maana isije kuwa watu wanafanya biashara kwa mgongo wa siasa za kuwakomboa Watanzania.

Merry Christmas 🎄.
Pesa za ruzuku hazikaguliwi na CAG
 
Chadema imegharimiwa kwa fedha nyingi binafsi za Mbowe, wafuasi na marafiki zake. Pia CDM imegharimiwa kwa damu za vijana wengi wabichi. Hizo habari za kufanya ukaguzi ni sawa ila wasiojua uhalisia ndio watakuja na hizi simplistic statements.
Hizo Hela za Mbowe zinatokaga wapi?
 
Hizo Hela za Mbowe zinatokaga wapi?
Ndipo mbaposhindwa kujua kuwa Mbowe ni mzaliwa wa familia ya kitajiri na hufanya mambo mengi kwa kujitolea na mara nyingi hutumia resources zake binafsi. Mbowe family inamiliki biashara nyingi zikiwemo hotels na estates kama hujui.
 
Ndipo mbaposhindwa kujua kuwa Mbowe ni mzaliwa wa familia ya kitajiri na hufanya mambo mengi kwa kujitolea na mara nyingi hutumia resources zake binafsi. Mbowe family inamiliki biashara nyingi zikiwemo hotels na estates kama hujui.
Hoja yako nini hapa Mkuu!
 
I’m continuing to read the tea leaves from Tundu Lissu’s Clubhouse appearance.

Lissu aliulizwa swali kuhusu Mbowe kuibeba CHADEMA kifedha.

Akafunguka na kusema kuwa kuna nyakati kamati kuu ya chama ilikuwa inamwambia Mbowe kuwa chama kinahitaji kiasi hiki cha pesa kwa sababu moja, mbili, tatu.

Akishataarifiwa kuhusu hayo mahitaji ya kifedha, Mbowe alikuwa anaenda anakokujua yeye mwenyewe na kurudi na hizo pesa.

Hizo pesa zilikuwa ni mikopo kwa CHADEMA.

Baadaye chama kikipata hela za ruzuku, deni lilikuwa linalipwa kwa huyo mkopeshaji [Mbowe?].

Kisheria kwa sheria zilizopo, sijui uhalali wake ukoje hapo.

Ila nimewaza na kufikiria kuwa yawezekana kulikuwa kunafanyika kamchezo haramu hapo.

Inawezekana katika kuilipa hiyo mikopo, kulikuwa na ‘riba’ nzuri tu.

Lissu alivyokuwa anaongea ni kama vile hakuwa kabisa ‘privy’ na hizo taarifa za fedha za chama.

Kama ni kweli, hiyo inaweza kuelezea vizuri kabisa kwa nini Mbowe anang’ng’ania hayo madaraka.

Maana asipokuwa tena mwenyekiti basi na hiyo ‘gravy train’ ya SGR ndo bye bye na yenyewe.

Hivi yule CAG huwa havikagui hivi vyama vya siasa?

Vitabu vya CHADEMA vinahitaji kupitiwa na kukaguliwa kwa kina.

Maana isije kuwa watu wanafanya biashara kwa mgongo wa siasa za kuwakomboa Watanzania.

Merry Christmas 🎄.
Vitabu vinakaguliwa na report ya CAG siyo siri unaweza kuipata ukajiridhisha, na Chama kinapewa report.

Ingekuwa chadema hawana report nzuri hata CCM wangesha sema hilo, hata usingelisikia wa TL.

Ndiyo Siasa za nchi hii zinavyoendeshwa.
 
Back
Top Bottom