johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwako wewe umaarufu ni upi? Unaupimaje? Na Chama cha Siasa unakielewa na kukitambuaje?Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita
Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza
Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?
Nimekaa pale 🐼
Anayewauwa hajulikani?Muuaji anajulikana ni sa....Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita
Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza
Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?
Nimekaa pale 🐼
Kwa sababu Chadema miaka ya hivi karibuni wamekuwa Chama cha Wanaharakati sio Wanasiasa. Kuna tofauto kubwa baina ya kufanya upinzani wa Kisiasa na Upinzani wa uongozi wa rais aliyepo madarakani.Chadema haijawahi kupata umaarufu kuizidi ile CUF ya Prof Lipumba na Maalim Seif enzi za Mkapa na IGP Mahita
Lakini Chadema ndio Chama ambacho wanachama wake wameuawa na kupotea bila kujulikana anayewaua au kuwapoteza
Hiki ni Chama Cha siasa Kweli?
Nimekaa pale 🐼
Na aliyemuua Ali Kibao na kuwapoteza kina Soka na wenzake naye atapata tabu sana kabla ya kifo chakeKila Ubaya utalipwa, Aliyemuua Ben Saanane kwa Risasi za kichwa alikufa kibwege sana! Hawa wengine wanafuatia
HakikaNa aliyemuua Ali Kibao na kuwapoteza kina Soka na wenzake naye atapata tabu sana kabla ya kifo chake