CHADEMA ni kundi La Nzige

Nimekuwa nikiwafuatilia hawa watu hasa viongozi na vijana wao hawana nia njema na watanzania,wanaendeshwa na mihemuko ya Siasa, vurugu ,unafiki na Matusi pamoja na uongo.Kwa matendo yao watanzania tuwahukumu na kamwe tusiwqpe nafasi ya kutuongoza!

Umekaririshwa wazo hili au una akili sawa nyenyere! Nzige wanaokikikimisha chama tawala, chama dola na fedha na vyombo vya ukandamizaji mpaka na wewe shabiki mandazi unapost Uzi kukizungumzia, basi hicho ni chama makini; kinalo jambo la maana kinafanya! wahenga walisema "mti wenye maembe mengi ndio hupopolewa mawe zaidi"
 
Nimekuwa nikiwafuatilia hawa watu hasa viongozi na vijana wao hawana nia njema na watanzania,wanaendeshwa na mihemuko ya Siasa, vurugu ,unafiki na Matusi pamoja na uongo.Kwa matendo yao watanzania tuwahukumu na kamwe tusiwqpe nafasi ya kutuongoza!

unahititaji matibabu ya physichiary
 
Ili kulijua hilo unahaja ya kwenda chuo kikuu?

Nenda kamsaidie Sugu usiku huu kuwatoa makamanda Mafia wamekabwa koo!Siasa za vurugu sio mpango kama wananchi wanawakubali wanawakubali tu hamtatumia nguvu kueneza propaganda zenu sasa angalia ni majanga kila kukicha!
 

Ha ha ha ha huo mti wenye maembe mengi ndo unapopolewa ndo upi huo wa CDM? Hayo maembe yenyewe naona yanajiangukia yenyewe yameshaliwa na panya buku waliojaa Makao makuu ya OFISI ZA CDM!!
 
Ha ha ha ha huo mti wenye maembe mengi ndo unapopolewa ndo upi huo wa CDM? Hayo maembe yenyewe naona yanajiangukia yenyewe yameshaliwa na panya buku waliojaa Makao makuu ya OFISI ZA CDM!!

Opium infested brain! Bs
 
 
 
 
 
CDM ni chama cha wachaga walioko mikoani,lichama gani linae ndekeza UKURUNZINZA???eti mbowe anagombea mara ya tatu kisa amekijenga chama??nani kakwambia ukijenga chama zawadi yako ni kung'ang'ania madarakani hasa kwenye nafasi ya juu ya uenyekiti kama NKURUNZINZA???afu eti chama cha democrasia na maendeleo,nina nyie....!!!labda chama cha demoghasia na maendeleo ya wachaga,chama kinaenda kinyume na katiba mama ya nchi????sijapata ona!!!!eti mbowe akifanya ubadhilifu usimpeleke mahakamani mweeeh!!!kaambiwa chama ni KIHAMBA chake kule MACHAME???au kwa vile anringia kurithishwa chama na mkwewe MTEI???nina sana!!!!bakini na UKIWA wenu,KADI LENU TUPA KULEEEEEE!!!!nabaki kuwa mzalendo nisiye na itikadi yeyete ntakayeona anafaa ndio ntampigia kura co CDM!!!!
 
CCM nuksi CHADEMA ndo usilonge. kwa hyo CCM & CHADEMA wote ni nzige.

CDM wanajiita watetezi watu wao hasa viongozi hawali rushwa na wanaichukia sana tena hawataki kuisikia, badala yake ndo wamekua vinara check wanavyopeta ni sheeadah wezi tu na wasakampunga!
 
 

Maembe huwa yanaliwa tu au si mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…