Chadema ni mti wenye matunda, kila mja anaurushia mawe

Chadema ni mti wenye matunda, kila mja anaurushia mawe

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1591433574635.png
 
Ambacho hukijui ni kuwa unatumiaje vitu vilivyopo kula au kukupatia chochote kitu.
 
Ili upate cheo Tanzania tukana CHADEMA.Ongelea CHADEMA negatively. Nchi ya ajabu sn
 
Iko kama CHADEMA ni chama tawala na ccm ndio mpinzani.
ccm kutwa kuipinga CHADEMA na kuisakama badala ya kuleta maendeleo
 
Back
Top Bottom