Chadema ni mti wenye matunda, kila mja anaurushia mawe

Ambacho hukijui ni kuwa unatumiaje vitu vilivyopo kula au kukupatia chochote kitu.
 
CHADEMA is the best. Huyo wa nne ni mtu asiyejulikana wakishirikiana na Polisi, Mahakama, Msajili wa vyama vya siasa, spika wa bunge, Tume ya Uchaguzi, Wakurugenzi was halmashauri na vibaraka wengine wa CCM.
Uko vizuri mkuu.
 
Ili upate cheo Tanzania tukana CHADEMA.Ongelea CHADEMA negatively. Nchi ya ajabu sn
 
Iko kama CHADEMA ni chama tawala na ccm ndio mpinzani.
ccm kutwa kuipinga CHADEMA na kuisakama badala ya kuleta maendeleo
 
Labda wameons nyoka ndio maana wanarusha mawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…