- Mkuu heshima yako sana, ila nimeshindwa kukuelewa kwamba CCM wana majority bungeni tena kwa mbaaali sana, sasa inakuwaje minority ndio wawe na the upperhand ndani ya bunge au kwenye taifa? I mean Chadema lazima wakubali makosa waliyoyafanya wakati wa kuanzishwa kwa sheria ya vyama vingi, kwamba walikubali under sheria za chama kimoja na kwamba kubadilishwa katiba sasa ni ngumu sana maana hawana majority bungeni.
- Political blackmail ni ngumu sana kufanikiwa kwa sababu CCM inapaswa kufahamu kwamba wakikubali once then itabidi wakubali all the times na from anybody kuwa blackmailed hiyo haiwezi kutusaidia taifa, bado hatuna upinzani mzito wa kuweza kurekebisha mapungufu kwa kasi tunayoitaka hapa JF, mahakama haiwezi kuiamuru serikali kupitisha sheria na kama that is the case basi waipeleke NEC mahakamani, Rais wa sasa hakuhusika na wizi wa kura unlesss kama upo ushahidi, otherwise nafikiri we are getting too excited na mafanikio madogo ambayo itaishia kuharibu kila kitu!
William.
This is hard to swallow but your post has truth that should be received with great care.
Kosa la akina Mtei halivumiliki na ni kosa la kihistoria ambalo limepeleka vyama vingi nchi hii kuonekana ni kama CCM B.
The very same mistake have been continuing for long time, for about 18yrs! no one in opposition have dared to seriously discuss the matter at hand.
Wengine tumekuwa tukionekana adui wa chadema humu ndani ili hali tunapigania tuunde Tanzania moja ya wamoja wenye lengo moja la kuijenga nchi yetu, no matter which political parties you belong.
Kindly, refer my post:
https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/76673-sababu-za-kutopiga-kura-2.html
Sitataka kurudia umuhimu wa mabadiliko ya NEC na mabadiliko ya Katiba, nilieleza kila kitu humo na nikasema wazi wapiga kura watakuwa wachache zaidi, na imetokea kweli, na next election hali ikiwa hivi then it will be worse, kama 2010 Slaa kashindwa kumfikia Mrema kwa 1995! kazi hipo
What Rev says is Ok and supported, and upperhand here is not necessary wabunge wengi.
Move ya chadema ya sasa itaiokoa yenyewe na vyama vingine kutoka kwenye this shame ambayo wajukuu zetu watatucheka tulikuwaTUNAWAZA nini?
Move ya chadema ya sasa iwe kama vile ya kupigania uhuru! I am very happy at last these guys are openly talking this matter. Ulikuwa ukiwaeleza that time walikuwa wakali, lakini let me tell you, the effort, money and time wasted in campaigns is not reversible!! They better waste now to clean all our historical shame ever in human kind who claim to live in 21st century
Chadema wataingia mioyoni mwa watu, their campaigns in next election will be cheaper and easier than ever! every one will be waiting to cast another vote that they will believe it will end CCM.
Yes CCM is stronger, because they have everything in their side, they have dola, UWT, Government, Jeshi etc. That come another bitter truth that Nyerere introduce siasa in Jeshi, usalama wa taifa and in Police!!! those politics killed democracy so is our task now to redeem it!
Move ya chadema, not matter how far they will go but 'message will be sent'
It is not time to discusss about how chadema they will succeed through this constitution, no..no, the ground that Chadema stands is far from the constitution , because we DONT HAVE ONE! it is not existing! the very constitution that gave Nyerere a title of chief minister so that he could report to QUEEN! we need new one!!!
Re-birth of TANZANIA was supposed to be in 1992! because Nyerere killed the very same system in 1967! but midwives were not to receive new Tanzania.
We dont have opposition parties as Malecela depicted, we have time waster and money hungry people. Chadema's move may distinguish them from those 'fake opposition parties' but they should be careful by not being fake themselves and prove the common sayings ''we dont have opposition parties' They may follow Odinga and Tsvangirai steps, or even CUF-Zanzibar, believe me, THIS VERY CITIZEN THAT I KNOW they will fully support Chadema.
Dont quit brothers, let us redeem Tanzania from this colony -named CCM
Chadema have seen mistake, they are now awake we will move foward at least WEAKERS MAY TURN TO BE STRONGERS this is what chadema tries to show us here, and I believe they have upperhand, even if not in bunge yes, in our heart.