Pre GE2025 CHADEMA Nyamagana: Hakutakuwa na Uchaguzi bila maboresho

Pre GE2025 CHADEMA Nyamagana: Hakutakuwa na Uchaguzi bila maboresho

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Amos Ntobi, amesisitiza kuwa CHADEMA haitakubali kufanyika kwa uchaguzi wowote wa kitaifa ikiwa hakutakuwepo na maboresho na marekebisho katika mifumo ya uchaguzi.

Akizungumza na Jambo TV kuhusu kauli ya "No Reform, No Election," Ntobi amesema lengo la CHADEMA si kujitoa kwenye uchaguzi, bali kuhakikisha kuwa uchaguzi hautafanyika kabisa ikiwa hakuna mabadiliko ya kweli katika mifumo ya uchaguzi.

"Tunapozungumzia 'No Reform, No Election,' hatutumii dhana ya kutoshiriki uchaguzi, bali tunamaanisha kuwa uchaguzi hautakuwepo kabisa. Hii siyo kuhusu vyama kujitoa, bali ni kuhusu kutumia nguvu za wananchi kuhakikisha kuwa hakuna uchaguzi utakaofanyika ikiwa hakuna maboresho”, amesema Ntobi.

 
Ntobi: No Reform no Election haimaanishi kwamba CDM itasusia uchaguzi,

CHADEMA itatumia nguvu ya umma kuhakikisha uchaguzi haufanyiki ikiwa mabadiliko kwenye Katiba na Tume huru hayatafanyika.

chiembe umeelewa nadhani.
 
mnadhani hii nchi ya kwenu pekeyenu kuna vyama vingi sana ambavyo viko tayari kushiriki uchaguzi yaani chadema pekeyake ndiyo waahirishe uchaguzi yeye kama nani? YAAANI MIIFANAY FUJO WAKATI WENYE AKILI WAKIFANAY UCHAGUZI MTAPIGWA MPAKA MNYOOKE/MCHAKAE na uchaguzi ukiisha tukutene 2030 nyie mnauguza makovu wengine hamna miguu wengine hamna vichwa
 
mnadhani hii nchi ya kwenu pekeyenu kuna vyama vingi sana ambavyo viko tayari kushiriki uchaguzi yaani chadema pekeyake ndiyo waahirishe uchaguzi yeye kama nani? YAAANI MIIFANAY FUJO WAKATI WENYE AKILI WAKIFANAY UCHAGUZI MTAPIGWA MPAKA MNYOOKE/MCHAKAE na uchaguzi ukiisha tukutene 2030 nyie mnauguza makovu wengine hamna miguu wengine hamna vichwa
Ondoa Ujinga wako,

Rais Kikwete akikubali kuwa HOJA ya Katiba mpya ni ya Watanzania wote,

Ikatungwa Sheria, bunge likapitisha na kuunda Tume ya Katiba, mchakato ukaanza,

Wote CCM , upinzani, vikundi mbalimbali, dini nk nk wakatoa maoni,

Baadae CCM ikakwamisha mchakato,

Sasa tunataka mchakato huo uhuishwe kabla ya Uchaguzi huu.

Tupate Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote.
 
Kwa mtazamo wangu, kuna mambo mazito ya kitaifa ambayo hayastahii kutolewa matamko na kiongozi mdogo wa ngazi ya wilaya.
 
Ntobi: No Reform no Election haimaanishi kwamba CDM itasusia uchaguzi,

CHADEMA itatumia nguvu ya umma kuhakikisha uchaguzi haufanyiki ikiwa mabadiliko kwenye Katiba na Tume huru hayatafanyika.

chiembe umeelewa nadhani.
Kwamba ukileta chakula mezani hatutakula, lakini hatutakisusia, Huwezi kula keki halafu ubaki nayo, kama hususii uchaguzi maana yake utashiriki
 
Kwamba ukileta chakula mezani hatutakula, lakini hatutakisusia, Huwezi kula keki halafu ubaki nayo, kama hususii uchaguzi maana yake utashiriki
Ndio,

Tutashiriki uchaguzi ambao Tume imefanyiwa mabadiliko ya kikatiba Ili kuwa huru na Sanduku la kura likiheshimiwa,

Matokeo ya Urais yakikatiwa rufaa na kuhojiwa mahakanani,

Hiyo ndio tutashiriki wananchi.

Isipokuwwpo uchaguzi utayeyuka.
 
Ndio,

Tutashiriki uchaguzi ambao Tume imefanyiwa mabadiliko ya kikatiba Ili kuwa huru na Sanduku la kura likiheshimiwa,

Matokeo ya Urais yakikatiwa rufaa na kuhojiwa mahakanani,

Hiyo ndio tutashiriki wananchi.

Isipokuwwpo uchaguzi utayeyuka.
Too late, constitutional process inahitaji white paper, detailed coslnsultations na wadau.

Kama maandalizi ya harusi yamekamilika halafu mtu akafa, watu huendelea na harusi, baadae ndio taarifa za msiba zinasambazwa. 2025 October watu watapiga kura. NY is bakini na theories. Kwenye mitaa mngakuwa na theories kama hizo, mngekuwa hamna hata kiongozi mmoja.

Mpaka tunavyoongea, michakato ya maandalizi ya uchaguzi yako advanced stage, ikiwamo tendering process
 
Too late, constitutional process inahitaji white paper, detailed coslnsultations na wadau.

Kama maandalizi ya harusi yamekamilika halafu mtu akafa, watu huendelea na harusi, baadae ndio taarifa za msiba zinasambazwa. 2025 October watu watapiga kura. NY is bakini na theories. Kwenye mitaa mngakuwa na theories kama hizo, mngekuwa hamna hata kiongozi mmoja
Mwaka huu patakuwa na white paper
 
mnadhani hii nchi ya kwenu pekeyenu kuna vyama vingi sana ambavyo viko tayari kushiriki uchaguzi yaani chadema pekeyake ndiyo waahirishe uchaguzi yeye kama nani? YAAANI MIIFANAY FUJO WAKATI WENYE AKILI WAKIFANAY UCHAGUZI MTAPIGWA MPAKA MNYOOKE/MCHAKAE na uchaguzi ukiisha tukutene 2030 nyie mnauguza makovu wengine hamna miguu wengine hamna vichwa
Kama ni kupigwa watu wameshapigwa sana, ila safari hii chaguzi za kihuni kuhalalisha ccm kukaa madarakani haitawezekana. Lazima safari tuumie wote ili tuheshimiane.
 
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Amos Ntobi, amesisitiza kuwa CHADEMA haitakubali kufanyika kwa uchaguzi wowote wa kitaifa ikiwa hakutakuwepo na maboresho na marekebisho katika mifumo ya uchaguzi.

Akizungumza na Jambo TV kuhusu kauli ya "No Reform, No Election," Ntobi amesema lengo la CHADEMA si kujitoa kwenye uchaguzi, bali kuhakikisha kuwa uchaguzi hautafanyika kabisa ikiwa hakuna mabadiliko ya kweli katika mifumo ya uchaguzi.

"Tunapozungumzia 'No Reform, No Election,' hatutumii dhana ya kutoshiriki uchaguzi, bali tunamaanisha kuwa uchaguzi hautakuwepo kabisa. Hii siyo kuhusu vyama kujitoa, bali ni kuhusu kutumia nguvu za wananchi kuhakikisha kuwa hakuna uchaguzi utakaofanyika ikiwa hakuna maboresho”, amesema Ntobi.

Uchaguzi lazima ufanyike acheni ujinga wenu
 
Kama ni kupigwa watu wameshapigwa sana, ila safari hii chaguzi za kihuni kuhalalisha ccm kukaa madarakani haitawezekana. Lazima safari tuumie wote ili tuheshimiane.
Usiwadanganye wenzako hukawii kukimbilia Ubeligiji.
 
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Amos Ntobi, amesisitiza kuwa CHADEMA haitakubali kufanyika kwa uchaguzi wowote wa kitaifa ikiwa hakutakuwepo na maboresho na marekebisho katika mifumo ya uchaguzi.

Akizungumza na Jambo TV kuhusu kauli ya "No Reform, No Election," Ntobi amesema lengo la CHADEMA si kujitoa kwenye uchaguzi, bali kuhakikisha kuwa uchaguzi hautafanyika kabisa ikiwa hakuna mabadiliko ya kweli katika mifumo ya uchaguzi.

"Tunapozungumzia 'No Reform, No Election,' hatutumii dhana ya kutoshiriki uchaguzi, bali tunamaanisha kuwa uchaguzi hautakuwepo kabisa. Hii siyo kuhusu vyama kujitoa, bali ni kuhusu kutumia nguvu za wananchi kuhakikisha kuwa hakuna uchaguzi utakaofanyika ikiwa hakuna maboresho”, amesema Ntobi.

hako kamtu kenyewe sasa kanako bwekabweka tsaaaaa tsaaaaa tassaaahhhhhh :pedroP:
 
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, Amos Ntobi, amesisitiza kuwa CHADEMA haitakubali kufanyika kwa uchaguzi wowote wa kitaifa ikiwa hakutakuwepo na maboresho na marekebisho katika mifumo ya uchaguzi.

Akizungumza na Jambo TV kuhusu kauli ya "No Reform, No Election," Ntobi amesema lengo la CHADEMA si kujitoa kwenye uchaguzi, bali kuhakikisha kuwa uchaguzi hautafanyika kabisa ikiwa hakuna mabadiliko ya kweli katika mifumo ya uchaguzi.

"Tunapozungumzia 'No Reform, No Election,' hatutumii dhana ya kutoshiriki uchaguzi, bali tunamaanisha kuwa uchaguzi hautakuwepo kabisa. Hii siyo kuhusu vyama kujitoa, bali ni kuhusu kutumia nguvu za wananchi kuhakikisha kuwa hakuna uchaguzi utakaofanyika ikiwa hakuna maboresho”, amesema Ntobi.

🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom