Sera ni za chadema na bado hajakabidhiwa kwa sasa kuzungumzia risasi ni sawaLissu hana sera zaidi ya RISASI, RISASI
Lissu hana sera zaidi ya RISASI, RISASI
Hahahaha
Tatizo lake ni kuwa ATAJISIFU sana mpaka atakerandiyo maana nimemwambia umepataaaaaaaaaaaaaa, maana mtu mwenye akili ndogo kama huyo ni vema kumfurahisha!
We lala ujipumzikie tuuSio akili tu, Ninazo akili timamu.
Hapa unamsema mzee Membe sasa..Tangu Mgombea wao achaguliwe hakuna mwanasiasa yeyote maalufu kutoka chama chochote aliyejitokeza na kumuunga mkono tofauti na wafuasi walewale wakati wa Lowasa CCM kilimeguka na hii iliwapa nguvu CDM.
Huna ulijualo zaidi ya kudanga? Hoja kwenu ni sgr, stigler na midege yenu mibovu na miflyover! Au mna jipya msimu huu?Lissu hana sera zaidi ya RISASI, RISASI