Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wanaukumbi.
CHADEMA ILITUMIA MILIONI 377 NJE YA BAJETI
Ukaguzi umebaini Tsh. 100,000,000 zilitumika kwa shughuli ambazo hazikuwepo kwenye bajeti Chama kilinunua Magari 5 kwa 227,430,000 na kutumia 50,000,000 kununua nyumba ya Ofisi Kanda ya Serengeti.
Ripoti ya CAG ukurasa 266, imebainisha kuwa kuna mkopo ambao haukuthibitishwa mapokeo yake. Agosti 26 Sh 866 milioni zililipwa kwa
mwanachama kwa niaba ya chama nje ya deni hilo, kwa ajili ya mabango.
Sh765 milioni zililipwa kwa mwanachama kama marejesho ya fedha hizo bila kuambatanisha makubaliano ya kisheria."
Nyie ndiyo mtakaka Katiba Mpya.
CHADEMA ILITUMIA MILIONI 377 NJE YA BAJETI
Ukaguzi umebaini Tsh. 100,000,000 zilitumika kwa shughuli ambazo hazikuwepo kwenye bajeti Chama kilinunua Magari 5 kwa 227,430,000 na kutumia 50,000,000 kununua nyumba ya Ofisi Kanda ya Serengeti.
Ripoti ya CAG ukurasa 266, imebainisha kuwa kuna mkopo ambao haukuthibitishwa mapokeo yake. Agosti 26 Sh 866 milioni zililipwa kwa
mwanachama kwa niaba ya chama nje ya deni hilo, kwa ajili ya mabango.
Sh765 milioni zililipwa kwa mwanachama kama marejesho ya fedha hizo bila kuambatanisha makubaliano ya kisheria."
Nyie ndiyo mtakaka Katiba Mpya.